dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
Wewe na Geza Ulole na wenzako ni wajinga sana. Huyo mwanaume kwenye picha ni mtu wa miaka 40 hata ukimuangalia tu kwa sura. In 1973 Putin alikuwa na miaka 21 kwa sababu alizaliwa 1952. Huwa mna akili finyu sana nyie Watanzania. Huyo mwanaume kwenye picha ni jibaba jizee sio kijana wa 21 years old. Mna upuuzi wakati mwingine sana. Watanzania mnapenda sifa za uongo.
Durban ni kamji kadogo sana. Huwezi kuilinganisha na Nairobi au Dar es Salaam.Mpuuzi kweli wew unalitea list za opinion za taasisi, twende ground Alafu uone kama hujalia.. we unafkiri hizi mambo za welth kwenye luxury residential, kama zitaletwa kulingana na uhalisia wa dunia unafkiri kuna mji hata mmoja Africa utatokea top 100.? 😂😂😂, Unakichaa wewe..
Una macho mazuri sana,hio picha kwako iko clear hadi unaweza kukadiria umri!Wewe na Geza Ulole na wenzako ni wajinga sana. Huyo mwanaume kwenye picha ni mtu wa miaka 40 hata ukimuangalia tu kwa sura. In 1973 Putin alikuwa na miaka 21 kwa sababu alizaliwa 1952. Huwa mna akili finyu sana nyie Watanzania. Huyo mwanaume kwenye picha ni jibaba jizee sio kijana wa 21 years old. Mna upuuzi wakati mwingine sana. Watanzania mnapenda sifa za uongo.
Hii unaweza kuwa umeandika hata wewe.
Kwani duniani kuna mji mzuri kama Nairobi?aloo.. durban bado sana kwa nairobi
View attachment 2141691View attachment 2141692
vs the very best of dar
View attachment 2141693
Daaadeki !!! 😲. Sikujua kwamba Safaricom has the second biggest market capitalisation in Africa. Market cap ya Safaricom ni kubwa kushinda kampuni zote Africa isipokuwa MTN? Wow, imeshinda hadi Dangote kwa market cap.you see.. outside of south africa, kenya is the 2nd dorminant economy in sub saharan africa after nigeria. so bongolalas, msije mkaona tumekaribiana kwenye mipaka, mkadhani tuko level moja, natwaweza kula kwa meza moja... nope.! kenya ni high table
View attachment 2141596
Who owns Safaricom?Daaadeki !!! 😲. Sikujua kwamba Safaricom has the second biggest market capitalisation in Africa. Market cap ya Safaricom ni kubwa kushinda kampuni zote Africa isipokuwa MTN? Wow, imeshinda hadi Dangote kwa market cap.
Watanzania hatupo ligi yenu, wacheni kulazimisha ligi na sisi. Tumewashinda kwa Mbali. Kampuni ya Kenya ni ya pili kwenye market capitalisation Afrika nzima halafu nyie Malazy mtaitisha ligi na sisi? Mtatuweza kweli? Private sector ya Kenya hususan service industry ya Kenya ni strong sana.
Cc Geza Ulole joto la jiwe The best 007 Sama boy 255 tuusan ichoboy01
35% Government of Kenya.Who owns Safaricom?
Unedited Dar😂👇👇Picha imepigwa mbali sana hiyo.. ngoja nikupe closer view 👇View attachment 2141653View attachment 2141655
Yes I can see how they are all new😂😂60% ya hayo majengo ni mapya (<15yrs)
How can you have slums in Dar when the whole city is slum?😂😂😂Nop thats not true, we dont have slums here in Tz.
60% owned by Kenyans.Who owns Safaricom?
Without the 3 blue towers, Dar looks like Kabul
Dar is the real definition of rust😂😂Without the 3 blue towers, Dar looks like Kabul
Meaning Kunyans r less than 50%!35% Government of Kenya.
25% listed shares ambazo pia kuna Wakenya wanamiliki pamoja na foreigners.
40% Vodafone + Vodacom
Hata kama kwa mfano tunamiliki 45% ya kampuni hii kubwa bado tuko vizuri sana.Meaning Kunyans r less than 50%!
alaf kwa density gani walionayo basi 🤣🤣Hao wakenya wamechanganyikiwa 😂😂😂, hizo cheap small rise buildings zao zinazoanguka hovyo kila siku zinawachanganya .. hapa ulinganishe na Durban 👇, jengo lenye maana hapo ni hii NBO tower pekeeView attachment 2141507