Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Arusha airport U/C
Huu mradi unahusisha na ujenzi wa jengo la abiria.?
Arusha airport U/C
Wacha kutafuta vijisababu hiyo sio pesa ndogo 👇sasa marathon ya kulipwa 2000 bob una expect mkenya achukue serious.....lol
I am a Jkuat alumnus tooi like this bro.. yani kumbe tuko wengi hapa, tot ni mimi tu kwenye hii nyanja ya uhandisi. itabidi urejelee hizi kazi atleast urefresh, isije ika evaporate....
enyewe nakumbuka ukisema hàpa eti ww ni alumni wa jkuat.... thts great men.! jkuat is the best campus when it's comes to matters engineering. cheers.! 🤜🏼🤛🏼
ni kichaa huyoOhk Kumbe toptorn ni Mkenya, ndo maana analazimisha Tanzanite bridge limejengwa kuhimili mzigo mwepesi! Wakati hamna weight limit na inategemewa magari kuwa mengi at a go kipindi cha foleni!
Kuna neema sana hapo badae yaja
Wewe uache kuniwaza vibaya hayo maneno hata mimi niliyashangaa...usiniwaze kabisa fuatilia aliesema hayo manenoKuna mtu mmoja anaitwa tuusan huyu jamaa tangu juzi ye anatoa maboko tu, ni ignorant huyu mwamba .. jana alidai eti USA hakuna traffic jam, bahati sana nilikua busy na bb. Nikasema leo ntamjibu .. owky traffic jam iliyopo US hakuna nchi ya Africa inawezana, yani ni muongoni mwa foleni za viwango vya juu zaidi duniani ..
.
Sasa hapo ni kusoma hujui ama nn?mm nimeshangaa aliesema America hakuna jams ila wewe unawashwa sio bure, Mwanaume tuusan uyo kwenye upuuzi wake
View attachment 2133841alikua anamjibu mkenya
. Alafu huyu tahira mwenzake The Sunk Cost Fallacy aka like ..
![]()
wenzio wamekuja!sasa marathon ya kulipwa 2000 bob una expect mkenya achukue serious.....lol
wamesema linakuja baada ya aircraft parking area (apron)! wajaribu liwe at least kama la Bukoba airport!Huu mradi unahusisha na ujenzi wa jengo la abiria.?
Kuna mtu mmoja anaitwa tuusan huyu jamaa tangu juzi ye anatoa maboko tu 😅, ni ignorant huyu mwamba .. jana alidai eti USA hakuna traffic jam, bahati sana nilikua busy na bb. Nikasema leo ntamjibu .. owky traffic jam iliyopo US hakuna nchi ya Africa inawezana, yani ni muongoni mwa foleni za viwango vya juu zaidi duniani .. 👇 .
Fuatilia aliesema America hakuna jams tatizo humu ndani mnavitabia kwa kike sana watt wakiumeMimi nilimuuliza ni USA ipi anayosema haina traffic jam, hakunijibu.
Ni kilaza mmoja wa Kikunya anajifanya mtanzania
Au hasira ni kisa Ghana inawachapa kila angle?huyo ndio iko hivyo upende ama usipendeMimi nilimuuliza ni USA ipi anayosema haina traffic jam, hakunijibu.
Ni kilaza mmoja wa Kikunya anajifanya mtanzania
Huu mkoa ndio wa mwisho kwenye kila kitu
Yeah angalia kuanzia dakika ya 18:24 kuna habari yake kwa ukamilifuHuu mradi unahusisha na ujenzi wa jengo la abiria.?
Umezoea kuchapwa fimbo unafikiri ni michezo ya kila mtu?Au hasira ni kisa Ghana inawachapa kila angle?huyo ndio iko hivyo upende ama usipende
Mtanzania mpambanaji huyo mkuusasa kama siyo mtaalam kwanini uropoke kwa vitu usivyovijua?
nilijua kuwa umewahi tembelea hayo madaraja mawili na ukafanya vipimo vya ubora,kumbe ni mropokaji tu
uache utoto,ifike mahala ukue,
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app







