Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
CHUGA skyline inazidi kuwa hatari
Kakamega town
Another long unmarked road








Du majaliwa kanenepa kweli siku hizi ni bata batani tu hakuna mikikikiki ya kuwatumikia wananchi sa100 yeye hadi ngeu aliyokuwa nayo usoni kaenda ulaya kuiondoa ,sasa hivi viongozi wanakimbizana kupaka kalolite tu na kufanya crab
Ua kabisa hao mbwa wa mkwere
Wanaziita boxes na dormitories kwa kejeli just because they don't have enough to battle with us but ndani ya mioyo yao wanazimezea sana mate. That's why you'll see them posting the few apartments they have whenever the opportunity arises and say how good they are. Kwanza zile za Dege eco village wanapost humu sana. Sadly looks like it stalled coz there's not much going on there. Jana kuna mmoja alipost apartments za mtaa wao wa kifahari Masaki na kuzimimia sifa tele tele while saying how good Masaki is than Karen because of the apartments nikabaki tu nikicheka. The hypocrisy in these guys is sickening!Yaani bado wanataka kushindana kwenye apartments? Kuna wengine wao walishakubali kwamba kwenye apartments Kenya ipo mbali sana ila naona kuna mwingine anaitwa toptorn bado anataka battle ya apartments. Egypt na South Africa pekee ndio pengine wameshinda Kenya kwenye suala la apartments. Na hata Watanzania wengine hawapendi hii battle, huyu toptorn atakuwa ni mgeni huku.
Tz kuna wajaluo wengi sana mfano ni mimi mwenyewekwani kuna wajaluo tanzania.? huyo akech ananikalia mkenya sana
Money doesn't talk. That's the good thingBrain without money?
that’s clearly not brain mate, just a mucus enclosed in a mighty skull.
Mara region kuna wajaluo wengi sana. Kiswahili wanakitema yani. Sio Kama hawa wenzetu wa Kenya 😂 😂Tz kuna wajaluo wengi sana mfano ni mimi mwenyewe
Ata aliyekuwa miss Tz Miriam Odemba ni mjaluo,pia Mama mzazi wa Nyerere alikuwa ni mjaluo inshort orodha ni ndefu sana.Mara region kuna wajaluo wengi sana. Kiswahili wanakitema yani. Sio Kama hawa wenzetu wa Kenya 😂 😂
This is the same road you are sweating over bongolala. Now take a chill pill 💊 and relax your asshole musclesAnother long unmarked road
Kenya is the father of unmarked roads in the WorldView attachment 2129954
Unajua hiyo lugha?Ata aliyekuwa miss Tz Miriam Odemba ni mjaluo,pia Mama mzazi wa Nyerere alikuwa ni mjaluo inshort orodha ni ndefu sana.
Naijua vizuri sana,mama na baba wote waluo ntaachaje sasa kuifahamu lugha ya nyumbani japo nimezaliwa mjiniUnajua hiyo lugha?
Glad to know thatNaijua vizuri sana,mama na baba wote waluo ntaachaje sasa kuifahamu lugha ya nyumbani japo nimezaliwa mjini
Ukabila tu umewajaa.Glad to know that
Rebase inakuja next year GDP sitashangaa ikifika 95bnKwa kinacho endelea kwa sasa sahau sisi kushuka kwa top ten, mda mwingine beberu zinapenda kulambwa ndio zikupe namba watakazoo,tazama tu izo sijui misadaa wanajifanya kutupa sita shangaaa GDP yetu mwaka huu ikafika 75-80 billions...lakin kiualisia sisi tuko close na 100b, inachekesha sanaa kwa miradi tuliyonfanya ndani ya 5 yrs bado wakaiwek GDP around 65, tena kama unakumbuka kukatokea mkanganyika kati ya serikali na IMF thidi ya ukuaji wa uchumi wao wakidai tuko around 4% wakat serikal ikisem tuko 5.5% wakiw pamoja AFDB , aibu iliwashika wakabadil tena kuwa 5%