Nairobi bus stand🤣🤣
haiihaihai akii hii complex hata JKIA haioni ndani hapa... Gai...
sioni ramps kama JKIA..
CC: Teargas, Tony254, komora096 , NairobiWalker, KENPAULITE n KANAIRO
Yaani hoteli ya $1.6 billion? Huo ni uongo. Katafuteni sokwe muwadanganye lakini sio sisi. Leta evidence zote nataka kuziona. Na kama ni ukweli basi hapo nakubali mumetuchapa kiboko kizito.
haiihaihai akii hii complex hata JKIA haioni ndani hapa... Gai...
sioni ramps kama JKIA..
CC: Teargas, Tony254, komora096 , NairobiWalker, KENPAULITE n KANAIRO
Kwa hiyo hutaki au? 😄😄.Hiyo project is being developed at ana area covering more than 400 hactaresof land.Yaani hoteli ya $1.6 billion? Huo ni uongo. Katafuteni sokwe muwadanganye lakini sio sisi. Leta evidence zote nataka kuziona. Na kama ni ukweli basi hapo nakubali mumetuchapa kiboko kizito.
Nimekueleza leta evidence yoyote hata render tu, au plan ya ujenzi. Ukikosa hio leta article ya gazeti. Yaani hio tweet pekee sio evidence na haitoshi mboga. Ukikosa vyote leta hata video.Kwa hiyo hutaki au? 😄😄.Hiyo resort inajengwa kwenye area ya hectares 411,ita host kila kitu hapo..
Kama unashangaa hiyo je Domino tower ikianza utasemaje kwa sababu ni project ya $ 3 bln.
Thamani ya hii concrete jungle JKIA ni ngapi? Hata $5 mln inafika?Wewe ni comedian kweli Geza. Yaani unataka kulinganisha JKIA na hili jengo la 10 million dollars? (Tzsh 26 billion)? Kapeleke mchezo wako mbali.
DahNairobi bus stand🤣🤣
View attachment 2129568
ukiwaambia Nyamhongolo Bus Station Mwanza ni zaidi ya JKIA wanapiga kelele! Ati Tony254 Nini sasa hiki? Hizi aibu ni nini? dampo?Nairobi bus stand🤣🤣
View attachment 2129568
sio majungu. Mbona akinipa sitakataa? Mimi huwa sichagui wala sibagui.
Hahaha. Huyu nikipatana na yeye usiku wa manane nitatoroka na kujificha mvunguni mwa kitanda. Dah! sura linatisha sana hilo. Licha ya utani wote huo, wacha niwapongeze Watanzania kwa kumchagua speaker wa kwanza wa kike wa Tanzania. Kenya tunastahili kuwaiga kwenye hilo.
She is a very bright lady a Juris Doctor!Hahaha naona jamaa hakuelewa. Lakini mimi nakandia point yangu ya awali kuwa huyu speaker wenu ni mrembo ajabu. Yaani ameumbwa akaumbika.
View attachment 2128384View attachment 2128385
View attachment 2128393
Ati Thika ni Hizi ni town Wakunya wana-compare na Dodoma, kamvua kadogo kako not reachable! kweeeli jamani gai gai gai haya ni madharau sasa kuwa na flyovers zakusombwa na maji!? wapi zile flyovers za kujengwa na tope?
dah aisee Tz tunahitaji arena kwa kweli,kwenye huu upande tumelala sanaMturuki anaendelea kujenga Jina na heshima Afrika..
Dakar Arena, Senegal.
View attachment 2129621View attachment 2129622View attachment 2129623