Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nicxie njoo leo nimekuja kumaliza kazi uliyoihitaji tangu jana . Nitakuonyesha zile posh areas za DAR es Salaam. na venye zilivyo za kinyama na hivyo vi affordable houses vyenu venye tunavidharau (tunapendelea kulinganisha na shule au mabweni ya camp fulani) Owky this is Ligalo Dar es Salaam 👇
Screenshot_20220223-123148_1.jpg
.. hii ni military camp tu in Dar es, usifadhahike
 
Hii Ndio stendi sasa sio ile yao wanaiita ultra modern kisa tuu kuweka tv sasa hii yetu tutaitaje futuristic beyond human imagination bus stand 😅😅
How Shoddy 😂😂😂😂
Sarakasi zote hizi zilikua ni ku catch up na Tanzania's pace mwishowe wakaangukia bandama 😅😅 kama kwenye BRT tu na SGR electrification

 
Kenya ni Private Hospitals pekee ndio kidogo zinaweza kupambana na Public Hospitals za Tanzania
wewe ni mjinga sana. kenya na tanganyika ni wapi na wapi..?
LDC na Frontier Market ni wapi na wapi.?
$109 na $65 ni wapi na wapi.?
$2,300 na $1,080 ni wapi na wapi.?
0.62HDI(medium)na 0.51HDI(low)ni wapi na wapi.?

as in, tanganyika is weaker than Kenya in each and every aspect including Health Sector.!!. if you don't believe me now, you ll believe me later. and please try doing some research from any reliable website or source. then try proving me wrong if you can please... i ll be more than ready to accept
 
Kuna mtu Munjombe anadai ati Mkataba umesema vifaa vya mkandarasi yaani Yepi Merkezi lazma viwe vipya ina maana aingie gharama ya kununua vichwa vipya kwa ajili ya testing kwa kila mradi! Ikumbukwe kabla ya hapo Yapi merkezi walikuwa Ethiopia, Senegal pia nchi zingine za middle east na Uturuki yenyewe! Jamani vichwa vya treni si magari!

Si nikama vile tunakuambianga ndege si kama gari
 
Mnanua msaada kutoka kwenye majangwa ya waarabu halafu mnajitetea kwenu ni semi arid , yaani majangwa yanaweza zalisha chakula lakini nyinyi matajiri namba 6 Afrika mnashindwa zalisha . Sasa utajiri gani huo au ndio utajiri wa mchongo?
Uliza huo utajiri wote wa kenya unamilikiwa na watu na makampuni mangapi??
majority kenya maskin wa kutupwa wenye hela wachache sana
 
Back
Top Bottom