Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Ebwana kuna uwezekano moja ya haya maji yanapita kijijini kwetu. Picha lilianza hivi:
Primary nliyosoma choo chake hakijawahi kujaa na mvua ikinyesha kubwa hususani mlimani, choo kinafoka maji. Wakaja wazungu kupima ikaonekana kuna underground river chini ya choo na uwanja wa shule ambapo 2/3 ya uwanja chini yake umepita huo mto.
So, ikabidi tujengewe choo kingine na pia wakashauri kuutelekeza uwanja ingawa uwezekano wa kufumuka ni mdogo since mto upo chini sana
 
Tangu lini Kenya ikafaidika kwa mgongo wa Tanzania?
Vipi mnachukia pale anapokamata Ng'ombe wanaoingizwa Tanzania bila kibali eti kwasababu tu wamasai wa Kenya na Tanzania ni ndugu?, Ina maana undugu unafuta Sheria za nchi?, Mbona zaidi ya Ng'ombe 3000 za Rwanda zilitaifishwa na hatukusikia Rwanda ikisema Magufuli anachukia Rwanda?, Vivyo hivyo kwa vifaranga?
 
Tangu lini Kenya ikafaidika kwa mgongo wa Tanzania?
JamiiForums-2076359996.jpg
 
Daima tunasonga mbele hakuna kuwasubiri jirani wazembe, watakoma kuwa karibu na Tz mana tunawachoresha kweli kweli. Huku Busisi, kule Tanzanite, pale Kigamboni, nyuma Mkapa, wakigeuka BRT, hawajakaa sawa Dodoma the new City, wakilia tunawaongeza na electrified SGR, kabla hawajanyamaza tunawapiga na modern Airports and Ports, wakati wanashangaa shangaa tunawagonga na new ships, new planes, new ferries etc
 
Vipi mnachukia pale anapokamata Ng'ombe wanaoingizwa Tanzania bila kibali eti kwasababu tu wamasai wa Kenya na Tanzania ni ndugu?, Ina maana undugu unafuta Sheria za nchi?, Mbona zaidi ya Ng'ombe 3000 za Rwanda zilitaifishwa na hatukusikia Rwanda ikisema Magufuli anachukia Rwanda?, Vivyo hivyo kwa vifaranga?
Mkunya will remain Mkunya as their reasoning is full of Ukunya!
 
Leo nmeamua kufuatilia taarifa za makusanyo ya mamlaka za mapato baina ya Kenya na Tanzania kwa miezi sita iliopita...

Hali iko kama hivi yaani kwa kipindi hicho kenya imekusanya $8.59b kwa miezi iyo sita anzia July 2021 mpaka dec 2021.

Tanzania tulikusanya $4.8b kwa kipindi icho cha miezi sita iliopita.

Kodi inakusanywa kwa wazalishaji sisi bado uzalishaji wetu mdogo....
Screenshot_20220214-122300_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20220214-122435_Google.jpg
Screenshot_20220214-122625_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20220214-122925_Google.jpg
 
Back
Top Bottom