chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,309
- 45,109
Hii pesa mtakayopunwa kwa miaka 30 kwa kipande cha 20 km na mchina mngejenga tram mngepiga bonge la bingo.
Hii pesa mtakayopunwa kwa miaka 30 kwa kipande cha 20 km na mchina mngejenga tram mngepiga bonge la bingo.
Si at least ingekuwa hivyo. FYI Hiyo viaduct haijafika 20 km ni around 8 km !Hii pesa mtakayopunwa kwa miaka 30 kwa kipande cha 20 km na mchina mngejenga tram mngepiga bonge la bingo.
Kimara-Kibaha ni level za Europe ile wacha mchezo kabisa.kenya tukijenga ni 'low quality'. the same ikijengwa tanganyika ni 'very high quality'
watanganyika watanganyika............... take the case of kimara kibaha for instance
Kwahiyo kila km 1 watailipia ndani ya miaka mitatu! 🙄🤣🤣🤣🤣🤣Si at least ingekuwa hivyo. FYI Hiyo viaduct haijafika 20 km ni around 9 km !
Now tunakabana koo, unajua tulilala sn na tulikuwa hatuitangazi nchi yetu ipasavyo, now tangu Magufuli aifungue nchi tumekuwa known all over the world, watz Kama tutaitangaza hii nchi vzr trust me hapa East and Central Africa hakuna nchi itatia pua kabisa kama unavyoona hapo ubao unavyosoma.mh,kupitia mambo kama haya haya kipindi cha nyuma ndipo kenya walipotuzidi sababu vilink uchwala vya ajabu ajabu vilikuwa vimebeba jina ls kenya na mwisho wa siku ukibishana nao kidogo tu kwa ground wao wanakimbilia vilink visivyobeba uhalisia nakutupia humu
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Train y mkandarasi inakuja wezi huu 17...iyo april n ya TRCYes nimesikiliza tena kwa umakini hii haijabadilisha nilichokisema hapo juu awali,kwa sasa reli imeshajengwa mpk nguzo za umeme zipo ila magari yanapita juu ya reli ya SGR mpk hapo watakapojenga madaraja ya juu, tried to give current status!! April treni ya mkandarasi inakuja!Wasingefanya maamuzi haya kipande hiki kingezidi kudelay!!!!Kujenga madaraja hayo kutachukua muda mrefu hardly mwaka na zaidi!!!Fidia tu bado hazijalipwa!!!Na ukiangalia pale njia panda Segerea na Airport,nyumba zilizopewa namba kwa ajili ya kupisha mradi ni nyingi sana tu,kwa area size wanayotegemea kuchukua tutegemee mambo makubwa!Si kwa haraka unavyodhani.
Ameshakwenda lkn cha kufurahisha ni kwamba ameonesha thamani ya pesa ambazo taifa ilitumia ku invest kwake plus mapenzi makubwa aliyonayo kwa nchi yake so hakuna tulichopoteza kwake, cc hatumdai ila yeye anatudai miradi aliyotuanzishia ije itunufaishe sisi na vizazi vijavyo.Nililia machozi...![]()
Huyu msenge kaishiwa kabisa kabisa hata aibu haoni, from Monday to Sunday anapost mradi mmoja tu, ndipo walipofika wakunya, daahh mpk huruma aisee.Greening of pillars View attachment 2118587
Haijafika 9km ni 8.9km.Si at least ingekuwa hivyo. FYI Hiyo viaduct haijafika 20 km ni around 9 km !
Duh kama Tanzania mwanangu from Dar to Dom. Haya mambo wakenya watakuja kuyapata Tz yn itawabidi wawe wanakuja kufanya utalii Tz wa kupanda treni za umeme mana kwao hii technology wataipata miaka 300 ijayo approximately after 14th generation when all these dunderheads pass away.
Double deckers tunazotegemea bongoacha niwashtue wakenya kwanza
Giza ulale, hapa sio kenya View attachment 2118751
Actually it is over $3 bln
![]()
Get the toll charges on Nairobi Expressway right
The pricing model adopted on the Nairobi Expressway, with toll fees based on inflation and the dollar exchange rate, may set the project up for failure.www.businessdailyafrica.com
Only fools in GoK can sign such a project!
sasa unakataa hayo sio matofali au???🤣🤣
hebu kataa na hii kwanza 😂😂👇👇👇Geza Ulole soma hapo chini uone kwnn wengine wanatumia blocks kubwa kubwaView attachment 2117758
uehhehehhehhehe ona kzi wanaume hufanyaMV Uhuru II. Tanzania will never have a shipyard like this and that`s why they have started to order tenders for the construction of ships from KDF.
View attachment 2117990
View attachment 2117991
View attachment 2117993
View attachment 2117994