Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kenya tukijenga ni 'low quality'. the same ikijengwa tanganyika ni 'very high quality'

watanganyika watanganyika............... take the case of kibaha for instance
hebu linganisha hayo matofali kisha chukua picha ya tz ,kisha ndiyo uropoke usijitoe ufahamu,

kenya fly over & interchange construction type,something for nothing
JamiiForums-1618329392.jpg
JamiiForums1746255629.jpg


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Kweli kabisa kaka, kuna vitu tulikuwa tunaona haviwezekani kwasababu ya uchumi mdogo lkn jemedari akawaonesha viongozi kwamba hakuna lisilowezekana chini ya jua, na ndio unaona leo hii tunafanya miradi kama ya reli but kabla ya Magu hakuna kiongozi wa hapa Tz alithubutu kujenga japo 0.0006cm ya reli.

Unaweza kuona hata mabwawa ya umeme ni yeye ndiye alianzisha ukiacha hayo mabwawa yaliyojengwa awamu ya kwanza, leo hii viongozi wanaona kila kitu kinawezekana na unaweza kuona jinsi tunavyojenga mtandao wa reli nchini, zamani ilikuwa vitu vinawekwa kwenye ilani ili kupata kura lkn havitekelezwi, walikuwa wanatekeleza vitu ambavyo kila Rais lazima afanye mfano barabara, madaraja haya kawaida kawaida, hospitals lkn vitu vinavyohitaji maamuzi mazito walikuwa wanaogopa kabisa hata kuomba mkopo

Magu was the real deal.

Nililia machozi...😭😭😭😭😭
 
Hakuna Airport Terminal naifeel Bongo kama KIA, it’s just simple and classy, kuna siku hadi ndege kidogo iniache, nilikuwa kwenye restaurants nakula Kilimanjaro Beer kiasi nikapata feelings niko kwenye my favorite bar, waliita jina mara tatu
Na hata ikihitaji terminal 2 waidesign kitu kimetulia kama kile

Nimewahi kuona renders za kigoma airport..kama itakuwa hvyo nahisi itakuwa terminal nyingne iliyotulia and simple

check these renders
IMG_20220213_201859.jpg
IMG_20220213_201910.jpg
IMG_20220213_201902.jpg
 

Attachments

  • IMG_20220213_201902.jpg
    IMG_20220213_201902.jpg
    44.6 KB · Views: 31
  • IMG_20220213_201910.jpg
    IMG_20220213_201910.jpg
    70.7 KB · Views: 28
Back
Top Bottom