Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
hata haibu huoni,kwa hiyo hivyo viblock vyenu unataka kucompare na hizo za wababe?
wakenya ni viazi kweli
View attachment 2117681
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app







hata haibu huoni,kwa hiyo hivyo viblock vyenu unataka kucompare na hizo za wababe?
wakenya ni viazi kweli
View attachment 2117681
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app







hebu linganisha hayo matofali kisha chukua picha ya tz ,kisha ndiyo uropoke usijitoe ufahamu,kenya tukijenga ni 'low quality'. the same ikijengwa tanganyika ni 'very high quality'
watanganyika watanganyika............... take the case of kibaha for instance
Isiolo VIllage hata hapa haiwezi kusogeza makalio 👇you are really pitching for this village you call city.......overrated isiolo
Hii Ndio green city sasa sio ile ya wakenya upande wa pili jangwa😅
Izindolo ifikie Lindi kwanzayou are really pitching for this village you call city.......overrated isiolo
Kweli kabisa kaka, kuna vitu tulikuwa tunaona haviwezekani kwasababu ya uchumi mdogo lkn jemedari akawaonesha viongozi kwamba hakuna lisilowezekana chini ya jua, na ndio unaona leo hii tunafanya miradi kama ya reli but kabla ya Magu hakuna kiongozi wa hapa Tz alithubutu kujenga japo 0.0006cm ya reli.
Unaweza kuona hata mabwawa ya umeme ni yeye ndiye alianzisha ukiacha hayo mabwawa yaliyojengwa awamu ya kwanza, leo hii viongozi wanaona kila kitu kinawezekana na unaweza kuona jinsi tunavyojenga mtandao wa reli nchini, zamani ilikuwa vitu vinawekwa kwenye ilani ili kupata kura lkn havitekelezwi, walikuwa wanatekeleza vitu ambavyo kila Rais lazima afanye mfano barabara, madaraja haya kawaida kawaida, hospitals lkn vitu vinavyohitaji maamuzi mazito walikuwa wanaogopa kabisa hata kuomba mkopo
Magu was the real deal.
Hehe hawaezi pinga coz ni ukweliThis is now the widest Road in Africa at 16 lanes,,nataka mpoko ajitokeze kupinga![]()
iko vyemaGreening of pillars View attachment 2118587
Na hata ikihitaji terminal 2 waidesign kitu kimetulia kama kileHakuna Airport Terminal naifeel Bongo kama KIA, it’s just simple and classy, kuna siku hadi ndege kidogo iniache, nilikuwa kwenye restaurants nakula Kilimanjaro Beer kiasi nikapata feelings niko kwenye my favorite bar, waliita jina mara tatu![]()
Still overrated isiolo.......why did you make a village your capital cityEndelea kuumia.. DOM CITY IN THE MAKINGView attachment 2118327View attachment 2118328View attachment 2118329View attachment 2118330