Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bwahahahaa!!wall lazima..
Watz wameshtuka kuona kile kitu wanakejeli kumbe ni technology ya kawaida...

Ona vile vitu vinafanywa jombaView attachment 2117579View attachment 2117580View attachment 2117581View attachment 2117582

C-VZmxdXkAAXglf


👆Hii si kenya umetoa hapa👇! The whole of kunyaland hamna MSE Walls! I challenge u to show me one MSE Wall be on ur SGR or be it on ur overpasses/interchanges or be it on ur dikes!





Hii ndio level yenu!
dsc_0463-1-jpg.2117589
 
Hii software ya ku trace source of pictures ni mbaya sana kwa jirani mtawaua, mana wao ni waongo wanaiba picha tu
Wapi nimesema hapo kenya
Emu nambie hapo ni kenya ya wapi mzee...
Yani nimewachapa leo mpka mnahaha, hapa huwezi pata pa kutokea..
Alafu acha ushamba, eti "software ya ku trace"
 
Wapi nimesema hapo kenya
Emu nambie hapo ni kenya ya wapi mzee...
Yani nimewachapa leo mpka mnahaha, hapa huwezi pata pa kutokea..
Alafu acha ushamba, eti "software ya ku trace"
Kwanini usitumie picha ya kenya unatumia picha za wenyewe.? 😂😂
 
Issue ya msingi ni tofali mmewekewa Flyover ya mchongo .. ni mwendo wa michongo tu uko kwenu
Acha nikupe tena maelezo uelewe
Kichapo cha mbwakoko msikitini, walai leo mtanichukia..
Emu soma kidogo basi, tz watamwaga zege kutoka chini..yani nimecheka kizembe sana leo
images.jpeg-6.jpg
 
Acha nikupe tena maelezo uelewe
Kichapo cha mbwakoko msikitini, walai leo mtanichukia..
Emu soma kidogo basi, tz watamwaga zege kutoka chini..yani nimecheka kizembe sana leoView attachment 2117611
"Kumbe sio kobe ni Kasa usidanganywe wanafanana" hii ni kutaka kulinganisha Kobe na Kasa .. Kasa 👇
images.jpeg-6.jpg
vs Kobe 👇
Screenshot_20220212-190640_1.jpg
😂😂😂😂 usidanganywe, Kobe na Kasa wanafanana tu, but them never the same
 
Back
Top Bottom