THE BOILER ROOM
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,054
- 3,212
Hapa hebu niwape hongera nzito sana iliyokoleza heshima kabisa. Yaani hapa mumefanya kazi na nimekoshwa kuona maendeleo na mafanikio yanavyofanyika kwa speed ya juu hapa Afrika Mashariki. Ninafurahi kuwa mwana Afrika Mashariki. Region yetu inakuwa kwa kasi mno kwenye miundo mbinu. Yaani eti Sgr lot 2 ipo karibu kukamilika? Nimeshangaa sana. Ila najiuliza ni kwa nini Dar mpaka Moro haijakamilika? Tatizo liko wapi? Anayejua jibu anieleze.
Tatizo ni changamoto ya kipande cha Pugu hadi point Zero!!!!Kuna crossing nyingi sana zinazohusisha makazi ya watu wengi!!!Lot of vehicles na shughuli za kibinadamu!!!na nafikiri hawakuona busara kubeba hayo matreni mpk pugu ndo yaanze safari!!!But now very soon maana wameamua kurahisisha kwa kufanya level crossing ili treni zipite tu then later on walipe watu fidia kwa ajili ya madaraja ya juu kwny maeneo ambayo ni critical!!!plus viaduct pia imechangia kuchelewesha kipande hiki!!!! Kipande hiki cha mjini kimekuwa changamoto sana kwa mkandarasi!!!!Maana kwa functionalities mnajenga kitu mkiangalia miaka zaidi ya mia mbele,mkihusisha mazingira yote ya future plans!!!.

