Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ile ni makeshift genge la ombaomba nobody will be interested!
Here is the last and only game Simba played Gor. 🤣🤣🤣

1.png
 
Hii habari inaleta matumani kiasi...ndugu zangu wakenya hongereni kufikisha $100b mnasomeka kimataifa yani...tuombeane heri nasi tuvuke...Africa mashariki mmeshasogea hatua kiasi...najua bado hamjafika ila mlipotoka ni mbali
Global-GDP-by-Country-2021-V15-Mobile-1.jpg
 
Wapo Polepole sana
Hili ndio Daraja Refu EAST AFRICA
Kwasasa daraja refu East and Central Africa ni Tanzanite bridge ambayo imevunja rekodi ya Kigamboni, zen Magufuli bridge inakwenda kuvunja rekodi ya Tanzanite bridge, now tunaweka record zen tunavunja wenyewe cz tumezungukwa na malazy ukanda huu so wacha tuvunje records zetu wenyewe, hatuwasubiri watatuchelewesha.
 
Hii habari inaleta matumani kiasi...ndugu zangu wakenya hongereni kufikisha $100b mnasomeka kimataifa yani...tuombeane heri nasi tuvuke...Africa mashariki mmeshasogea hatua kiasi...najua bado hamjafika ila mlipotoka ni mbaliView attachment 2114299
Numbers don't lie......We are hitting 200 billion by 2026.
 
Kwasasa daraja refu East and Central Africa ni Tanzanite bridge ambayo imevunja rekodi ya Kigamboni, zen Magufuli bridge inakwenda kuvunja rekodi ya Tanzanite bridge, now tunaweka record zen tunavunja wenyewe cz tumezungukwa na malazy ukanda huu so wacha tuvunje records zetu wenyewe, hatuwasubiri watatuchelewesha.
sasa leta facts za gdp......maneno za vijiweni mkekani hatutaki hapa.......
 
Hehe.....
vitu ziko Kisumu Eldoret Nakuru Meru Thika Kisii na Mombasa ndio mnataka kuanza planning......hehehe. I pity your ignorance and stupidity
Kisumu ina ring road?

Kisumu ina electrified sgr?

Kisumu ina international airport?

Kisumu ina mji wa kisasa?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unajua nyie watz mnachukulia poa lkn mkae mkijua wakenya wanachanganyikiwa sn wanapoona kila siku tunaanzisha miradi mipya ya gharama kubwa ambayo kwao ni miradi ya ndoto zao, wanashindwa kuelewa pesa tunatoa wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukiangalia uhalisia wa miradi tunayofanya mpk ss GDP ya Tz ni more than $150bn.
But in reality your gdp is a meagre 52 billion....zanzibar 9 billion.......GDP isn't measured in uhalisia and emotions. Its based on real output of a country
 
Unajua nyie watz mnachukulia poa lkn mkae mkijua wakenya wanachanganyikiwa sn wanapoona kila siku tunaanzisha miradi mipya ya gharama kubwa ambayo kwao ni miradi ya ndoto zao, wanashindwa kuelewa pesa tunatoa wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wao waendelee tuu kuongeza value ya Kenyan Shillings itawasaidia kulipa madeni ili waweze kukopa zaidi.
 
Back
Top Bottom