Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

BTW Moshi na Arusha nani mmliki wa Panone motel, petrol stations and supermarkets! Nimependa idea yake akikomaa atafika mbali sana! Pia nimeona yupo Mbeya, Manyara, Tanga na Pwani.

Patrick Ngiloi Ulomi

Anamiliki pia businesses nyingine tofauti na hizo

harshogrouptz_1644241840001.jpg
 
Nataka jibu kenya kuko na slum ngapi ? Pia wakunya wenzako wengi walisema hivyo hivyo kuwa dar is slum ila walipo sema wanakuja dar watapiga picha na kuthibitisha dar is slum wakaishia kusifia tu kwenye tweet ,hata kuna yule majuzi mlionyesha kuwa anakuja tz hadi leo kimya
HATA MIMI NATAKA SANA KUJA DAR ...BUT KWA KUTALII TU....NA KAMA MTALII NITASIFIA MAMBO KADHAA KAMA LABDA BICHI PALE..KISWAHILI KINGI VILE, MAPOCHOPOCHO HAPA NA PALE, NA WASICHANA WENU...KWA SABABU LAZIMA NIVUKE NA KAMOJA....LAKINI SIWEZI KAMWE KUSHANGAZWA NA MAJENGO AU MAENDELEO KWA SABABU HAKUNA CHA KUNISHANGAZA TZ...MKO NYUMA ZAIDI...YAANI NI KAMA VILE WATALII KUTOKA MAREKANI WAKIJA KENYA ...HUWA WANASIFIA KENYA BUT SIO JUU YA MAENDELEO BECAUSE ITS OBVIOUS U.S.A WAKO JUU YETU KAMA VILE KENYA TUKO JUU YENU....NA NISISAHAU...WAKATI NITAKAPO TUA TZ...TAFAZAL KWA HESHIMA NAOMBA MUWALETE WASICHANA KADHAA WA KIIRAKI PALE AIRPORT WANICHEZEEE MIZIKI YENU YA KITAMADUNI...HALAFU PIA HOTELINI SITAWAACHA BURE..MAANA TIP NITA TOA KISHENZI....SI MNAJUA NIKITOA TIP KAMA ELFU KUMI HIVI NITATIKISA DAR YOTE....HIVI MKIBADILISHA ELFU KUMI ZA KENYA ITAKUWA NI KAMA BILLIONI NGAPI HIVI ZA TZ NIULZE?
 
HATA MIMI NATAKA SANA KUJA DAR ...BUT KWA KUTALII TU....NA KAMA MTALII NITASIFIA MAMBO KADHAA KAMA LABDA BICHI PALE..KISWAHILI KINGI VILE, MAPOCHOPOCHO HAPA NA PALE, NA WASICHANA WENU...KWA SABABU LAZIMA NIVUKE NA KAMOJA....LAKINI SIWEZI KAMWE KUSHANGAZWA NA MAJENGO AU MAENDELEO KWA SABABU HAKUNA CHA KUNISHANGAZA TZ...MKO NYUMA ZAIDI...YAANI NI KAMA VILE WATALII KUTOKA MAREKANI WAKIJA KENYA ...HUWA WANASIFIA KENYA BUT SIO JUU YA MAENDELEO BECAUSE ITS OBVIOUS U.S.A WAKO JUU YETU KAMA VILE KENYA TUKO JUU YENU....NA NISISAHAU...WAKATI NITAKAPO TUA TZ...TAFAZAL KWA HESHIMA NAOMBA MUWALETE WASICHANA KADHAA WA KIIRAKI PALE AIRPORT WANICHEZEEE MIZIKI YENU YA KITAMADUNI...HALAFU PIA HOTELINI SITAWAACHA BURE..MAANA TIP NITA TOA KISHENZI....SI MNAJUA NIKITOA TIP KAMA ELFU KUMI HIVI NITATIKISA DAR YOTE....HIVI MKIBADILISHA ELFU KUMI ZA KENYA ITAKUWA NI KAMA BILLIONI NGAPI HIVI ZA TZ NIULZE?
Mkunya miaka yote upo humu kumbe upo kwenye mission ya kuongea kama mtanzania? 🤔

Okay kwenye uandishi 70% najua kwenye accent hutoboi mpaka unaingia kaburini.
 
tuimagine hizi ni requirements za kuhost AFCON, mikoa gan Tanzania inameet hizi requirements fully.. for me naona Dar na kule Unguja, Zanzibar


na ambazo hazimeet fully, ni kitu kimekosekana

kumbe kuhost ni kazi hiv!
Ku host sio kazi bro....Angalia nchi zilizohost kama zinafikia tourism Tanzania alfu utajua kwamba what we miss is only stadiums

Arusha
Dar
Zanzibar and Mwanza

can host

What we miss ni ..Training facilities 8 katika hio miji ...meaning 32 in total .wont cost more than 30mil usd

.Stadium Arusha , Mwanza na Zanzibar plus ku rehab Dar national stadium..maybe 200mil usd

Maybe imrpoving roads to those stadiums...and airports to make them have BRTs
 
yeah! nilijua tu Geza Ulole hakika yupo nchini hapa. ila nasijui mbona anapenda kuiponda nchi inayo mlea, inayo mnywesha, inayo mvisha pamba na kumkuza kilaleo.!?
Kwani ujui mlimtaperi kiwanja chake kenya mtafute tony254 umuhulize atakuambia kuhusu mali za geza
 
Mkunya miaka yote upo humu kumbe upo kwenye mission ya kuongea kama mtanzania?

Okay kwenye uandishi 70% najua kwenye accent hutoboi mpaka unaingia kaburini.
Wewe ujajua mission ya wakenya ni kujua kiswahili kama chetu ili wakija bongo wajifanye wabongo ,mkenya anachukia sana mbongo akimtambua kuwa yeye ni mkenya hivyo wanajitaidi kujua kiswahili ili wazamie bongo
 
Back
Top Bottom