Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Nchi za west Africa hazitii guu kwenye sekta ya utalii kwa nchi za afrika mashariki kwaiyo kwenye swala la hoteli za viwango tumewaacha mbali sana si tatizo letu moja ni viwanja tuu vya michezo vyenye hadhi ya kimataifa Ndio hatunagood, kwakuwa hotels mostly ni suala la sector binafsi.. nadhan serikali ikisema inajenga viwanja vikubwa, sector binafsi itachangamka hata kujenga hotels nzuri na kubwa zaid.. so ishu sio hotels. viwanja vikijengwa hotels zitakuja tu
in other words, suala la hotels tuliondoe au tuweke kote.. suala ni upande wa serikal kujenga
au
au
kwenye host cities pale ambapo hamna
.. suala ni upande wa serikal kujenga
au
au
kwenye host cities pale ambapo hamna