Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwa fikra hizi Africa itabaki nyuma labda tukufahamishe moja ya nchi zilizopiga hatua ni Malysia na ndio nchi ambayo mifuko ya jamii imewekeza sana kwenye miundo mbinu.Kwako kukopa ndio njia sahihi ili upate cha bure.Tuogope tozo ndogo na tukope.Mwisho mtakuja kusema tukae bure kwenye Nyumba za NHC kwa kua ni shirika la Umma.Kwangu mimi Kigamboni Bridge ni prize of African kwa kuwa haikuwa foreign funded project.
Sijaongelea kukopa bali kukusanya kodi.

Tumejadili sana haya mambo ya ukusanyaji kodi kwa makampuni makubwa toka Jamboforums ilipoanza. Hivi wewe unaona sawa Barrick kutokulipa kodi kwa miaka 5 huku mwalimu penseni yake kulipia ujenzi wa daraja?
Kitu usichokijua Kikwete huyo huyo ndio mwanzilishi na mletaji wa Tanzanite Bridge hata angekuja Rais gani lingejengwa maan a kila kitu kilikua tayari ilibaki kupata mkandarasi na kuweka jiwe la msingi.Huyo mnaedhani alikusanya kodi ndiye alikopa zaidi nyingine zikaenda kuweka Taa za barabarani kijiji na Taa nyingi kuliko watu 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Nafahamu kuwa mpango huo wa kujenga daraja ulikuwa proposed kabla ya Magu kuwa Rais ila fedha hazikupatikana. Magu aliweza kupata fedha za daraja huku akifanya miradi mingine mingi iliyomshinda Kikwete.
 


FK-dSUgXoAQi2Dx



FK-dV0wXEAQWFeF



FK-gsJlXwAMj9tX



FK-dV0wX0AUfcE4



MY TAKE
Hamna Mkunya ana kende za kuanika mbele ya huu mradi! Na Ajitokeze...!

Tony254 una guts?
 
Hiki kibarabara hakiwezi jengewa expressway juu yake kama hii ya Kenya. Washaharibu kuweka brt katikati plus this ugly interchange. Magufuli View attachment 2109371
Mchina akiendelea kufinya Wakunya na substandard structures zisizozingatia international standards at clearance height!




Unbenannt.PNG



MY TAKE
Mind u barabara ya kwenda Mombasa Port hiyo!
 
Kwahiyo unataka kusema brand new Mercedes-Benz haziuzwi Dar? Luxury brands wakati mna njaa? Unaumwa mavi wewe!
Hapo bongo kwa showroom ya Mercedes kuna G63 mpya kama hii? Munauziwa base models tu, jaribu kutulia.

images (20).jpeg
 
Kuomba kuzaliwa kenya ni sawa na kuomba kuzaliwa nguruwe ulaya hakuna mtz anatamani kuishi kenya huo ndiyo ukweli
mbona rose muhando, ama sijui pia na ray c. naskia waliona heri kuhama kwao tz, na kwenda kutafuta greener pastures majuu, ie. yani 'eastlands' in nairobi. mbona ivo
 
mbona rose muhando, ama sijui pia na ray c. naskia waliona heri kuhama kwao tz, na kwenda kutafuta greener pastures majuu, ie. yani 'eastlands' in nairobi. mbona ivo
Kwahiyo rose alikuja kuishi mji wa "karia dudu" ngoja nimulize Geza Ulole kama ni kweli aliwai kukutana na rose kwenye huo mji
 
Nani kakwambia fedha hazikupatikana? For your information kilichokamilishwa machi 2015 ndicho kilichofanyika sasa jiulize mwenyewe MACHI 2015 nani alikua Rais.Tukukumbushe pia Tanzanite Bridge na South Korea ilikuja baada ya JK kufanya ziara South Korea na kuongea nao wakakubali kutoa concessional loan kwa ajili ya project.
Sijaongelea kukopa bali kukusanya kodi.

Tumejadili sana haya mambo ya ukusanyaji kodi kwa makampuni makubwa toka Jamboforums ilipoanza. Hivi wewe unaona sawa Barrick kutokulipa kodi kwa miaka 5 huku mwalimu penseni yake kulipia ujenzi wa daraja?

Nafahamu kuwa mpango huo wa kujenga daraja ulikuwa proposed kabla ya Magu kuwa Rais ila fedha hazikupatikana. Magu aliweza kupata fedha za daraja huku akifanya miradi mingine mingi iliyomshinda Kikwete.
Soma hii kutoka Daily news tarehe 4/3/2015

Screenshot_20220207-124502.png


Screenshot_20220207-124526.png
 
Mama yupo nje ya wakati anafuata njia ya jpm baada ya kuona njia zake za kisengerema zimebuma sasa hivi kaanzisha tax force kama jpm pia kuhusu ujambazi katumia mbinu ya jpm na sasa anataka kutumia njia ya jpm katika kutumbua adharani
Na bado mtaongea yote, signature ni ya Samia sio ya marehemu 😃😃

2738144_JamiiForums764709745.jpg


2952061_JamiiForums569115795.jpg
 
tuimagine hizi ni requirements za kuhost AFCON, mikoa gan Tanzania inameet hizi requirements fully.. for me naona Dar na kule Unguja, Zanzibar


na ambazo hazimeet fully, ni kitu kimekosekana

kumbe kuhost ni kazi hiv!
 
Sijaongelea kukopa bali kukusanya kodi.

Tumejadili sana haya mambo ya ukusanyaji kodi kwa makampuni makubwa toka Jamboforums ilipoanza. Hivi wewe unaona sawa Barrick kutokulipa kodi kwa miaka 5 huku mwalimu penseni yake kulipia ujenzi wa daraja?

Nafahamu kuwa mpango huo wa kujenga daraja ulikuwa proposed kabla ya Magu kuwa Rais ila fedha hazikupatikana. Magu aliweza kupata fedha za daraja huku akifanya miradi mingine mingi iliyomshinda Kikwete.
Na wewe mtu mzima na kende kamili unaamini ule uzushi Na propaganda za Jiwe eti Barick haikulipa Kodi miaka 5? Panthetic
 
tuimagine hizi ni requirements za kuhost AFCON, mikoa gan Tanzania inameet hizi requirements fully.. for me naona Dar na kule Unguja, Zanzibar


na ambazo hazimeet fully, ni kitu kimekosekana

kumbe kuhost ni kazi hiv!

Hotels za 5 star na Stadium
 
Back
Top Bottom