Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Peleka upumbavu mbali, tulikuwa hovyo before Magu hiyo iko wazi now tunaona angalau viongozi wanawajibika ipasavyo baada ya kupata somo, kuna vitu ambavyo ni basic kila Rais lazima afanye lkn kuna vitu ambavyo ni exceptional co kila Rais anaweza kufanya.
Magufuli hajafanya tutambe that is akqward statement from you,alot was done before him,tunazungumza hospitali zilikuwepo before him,tunazungumza poverty level it was reduced before him,tunazungumza bridges zimekuwepo before as president,tunazungumza BRT imefanyika akiwa bado sio Rais,Tunazungumza barabara za lami zilijengwa akihudumu kama minister.Majengo marefu kama TPA,PSSF twin towers,project kama Morroco square,Dege,Eco AVIC, universities vimwkuwepo before him.Hapa tulipo ni kazi ya viongozi wakuu wote na watanzania not kwa ajili ya JPM,today JPM is not there lakini tunazumza flyover mbezi,Daraja Jangwani.dual carriage Arusha holili,Igawa-tunduma.Yes kuna vitu vizuri vimefanyika wakati wake kama kuanza SGR,Tanzanite bridge(though plan na fedha vilitafutwa na JK na kilichobaki ni kuanza ujenzi) na ujenzi Nyerere hydro power,kigongo busisi ambayo ni maamuzi yake binafsi.Hivyo TZ ni kubwa kuliko mtu
 
kilimo kipi hicho zaidi ya chai na maua? ambavyo vinafanywa na white settlers!
wewe Geza Ulole ni mtu wakushangaza sana... hivi unadhani kenya ni hizo mimea mbili pekee.!? kenya tuna kuza karibu kila kitu. FAO rates kenya highlands farmlands as among the most fertile in africa. hence the whiteman found kenyan soil suitable for the kind of plants they treasure. hence tea came to being. also coffee, flowers, pyrethrum, pineapples, cashewnuts, sisal and so on.....




potato farms in ole rongai, nakuru county👇🏼
Screenshot_20220207-234052_Gallery.jpg
seed-potato-3-1200.jpg
Potatoes-from-Kisima-Farm-960x620.jpg




vast maize farms in kitale, trans nzoia county👇🏼
corn-field.jpg
Screenshot_20220208-000307_Chrome.jpg





wheat farms in narok county👇🏽
unnamed (4).jpg
download (19).jpeg




rice plantation in kano plains, kisumu county👇🏽
kano.jpg
unnamed (5).jpg




banana plantation in kisii county👇🏼
Screenshot_20220208-010800_Chrome.jpg
Screenshot_20220208-010858_Chrome.jpg





pineapples in delmonte farm, thika, kiambu county👇🏼
56751285.jpg
bukidnon gecko (8).jpg
Del-Monte-Plantation.jpg




cabbage plantation in molo, nakuru county👇🏼
Profitable-Cabbage-farming.jpg
CarBDtLXEAA2Jik.jpeg





sugarcane in awendo, migori county👇🏼
Harvestor_cutting_sugarcane-768x512.jpg
konde-data.jpg
Sugarcane-Farming-in-Kenya.jpg




sisal plantation in rea vipingo, kilifi county👇🏽
Screenshot_20220207-234759_Gallery.jpg
e776413d4c50014006fc8c58ae542d21_w470_h290.jpg
 
wewe Geza Ulole ni mtu wakushangaza sana... hivi unadhani kenya ni hizo bidhaa mbili pekee.!? kenya tuna kuza karibu kila kitu. FAO rates kenyan farmlands as among the most fertile in africa. hence the whiteman found kenyan soil suitable for the kind of plants they treasure. hence tea came to being. also coffee, flowers, pyrethrum, pineapples, cashewnuts, sisal and so on.....




potatoes farms in ole rongai, nakuru county👇🏼View attachment 2111929View attachment 2111928



vast maize farms in trans nzoia county👇🏼View attachment 2111943




pineapples in delmonte farms, thika, kiambu county👇🏼View attachment 2111930View attachment 2111932



cabbage plantation in molo, nakuru county👇🏼View attachment 2111945




sisal in rea vipingo, kilifi county👇🏽View attachment 2111937View attachment 2111933




sugarcane in awendo, homabay county👇🏼View attachment 2111938View attachment 2111939




rice farms in kano plain, kisumu county👇🏽 View attachment 2111941




wheat farms in narok county👇🏼View attachment 2111942
Haya ni mashamba ya normal individual southern highlands of Tanzania! Nothing to brag about!
 
Haya ni mashamba ya normal individual southern highlands of Tanzania! Nothing to brag about!
nani amesema company farms!... hoja hapa ni kwamba, tunaweza panda chochote kwa mashamba zetu. sio eti tz inatulisha. kila uchao hua mnadai eti mnatulisha.! ila sivyo..
 
wewe Geza Ulole ni mtu wakushangaza sana... hivi unadhani kenya ni hizo mimea mbili pekee.!? kenya tuna kuza karibu kila kitu. FAO rates kenya highlands farmlands as among the most fertile in africa. hence the whiteman found kenyan soil suitable for the kind of plants they treasure. hence tea came to being. also coffee, flowers, pyrethrum, pineapples, cashewnuts, sisal and so on.....




potato farms in ole rongai, nakuru countyView attachment 2111929View attachment 2111954View attachment 2111928



vast maize farms in kitale, trans nzoia countyView attachment 2111943View attachment 2111947




wheat farms in narok countyView attachment 2111986View attachment 2111987



rice plantation in kano plains, kisumu countyView attachment 2111941View attachment 2111951



banana plantation in kisii countyView attachment 2111984View attachment 2111985




pineapples in delmonte farm, thika, kiambu countyView attachment 2111930View attachment 2111955View attachment 2111932



cabbage plantation in molo, nakuru countyView attachment 2111945View attachment 2111950




sugarcane in awendo, migori countyView attachment 2111938View attachment 2111939View attachment 2111957



sisal plantation in rea vipingo, kilifi countyView attachment 2111937View attachment 2111933
Ninyi wenyewe ndio mnasema kwamba Kenya hakuna ardhi ya kilimo kwasababu sehemu kubwa ni ukame ndio sababu mnakumbwa na njaa Kali kila mwaka, hapa unaonyesha jinsi mlivyo na ardhi nzuri na kubwa, swali la kujiuliza ni kwanini hamna uwezo wa kujitoshekeza kwa chakula hadi mnapokea chakula cha misaada?
 
wewe Geza Ulole ni mtu wakushangaza sana... hivi unadhani kenya ni hizo mimea mbili pekee.!? kenya tuna kuza karibu kila kitu. FAO rates kenya highlands farmlands as among the most fertile in africa. hence the whiteman found kenyan soil suitable for the kind of plants they treasure. hence tea came to being. also coffee, flowers, pyrethrum, pineapples, cashewnuts, sisal and so on.....




potato farms in ole rongai, nakuru county👇🏼View attachment 2111929View attachment 2111954View attachment 2111928



vast maize farms in kitale, trans nzoia county👇🏼View attachment 2111943View attachment 2111947




wheat farms in narok county👇🏽View attachment 2111986View attachment 2111987



rice plantation in kano plains, kisumu county👇🏽View attachment 2111941View attachment 2111951



banana plantation in kisii county👇🏼View attachment 2111984View attachment 2111985




pineapples in delmonte farm, thika, kiambu county👇🏼View attachment 2111930View attachment 2111955View attachment 2111932



cabbage plantation in molo, nakuru county👇🏼View attachment 2111945View attachment 2111950




sugarcane in awendo, migori county👇🏼View attachment 2111938View attachment 2111939View attachment 2111957



sisal plantation in rea vipingo, kilifi county👇🏽View attachment 2111937View attachment 2111933
Kwani unafikiri ukiiba pictures ndio mtaacha kufa njaa,

You can't solve the problems by denying they exist, you got predominant hunger and you can't feeding yourselves by any sensible percentage, face that and solve it.

Kuiba pictures haisaidii 🚮🚮🚮

Screenshot_20220208-064121.png
 
Back
Top Bottom