Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mpumbavu huyo achana naye, huwezi kumponda Magufuli kizazi hiki, Magu hapondeki kwasababu yeye ndiye sababu tupo hapa tunatamba, yani watake wasitake Magu ndiye baba wa Tz mpya, Nyerere ni baba wa Tz ya zamani lkn Tz mpya baba wa taifa ni Magufuli John Pombe Joseph, najua ni ngumu kumsifia kizazi hiki cz ni kawaida ya binadamu kuleta mazoea but uwezo, akili, kujituma na mapenzi aliyokuwa nayo Magufuli kwa taifa hili hayapimiki, kama itashindikana kupewa heshima yake kizazi hiki atapewa kizazi kijacho.
Kwahyo unamaanisha Magu ni Agano jipya[emoji28]
 
Dar

FK72UMtWUAE1pKT.jpeg


FK72UMqX0A0P5PK.jpeg


FK72UMrXEAoJDfI.jpeg


FK72UMtXsAQTJns.jpeg
 
kwa fikra hizi Africa itabaki nyuma labda tukufahamishe moja ya nchi zilizopiga hatua ni Malysia na ndio nchi ambayo mifuko ya jamii imewekeza sana kwenye miundo mbinu.Kwako kukopa ndio njia sahihi ili upate cha bure.Tuogope tozo ndogo na tukope.Mwisho mtakuja kusema tukae bure kwenye Nyumba za NHC kwa kua ni shirika la Umma.Kwangu mimi Kigamboni Bridge ni prize of African kwa kuwa haikuwa foreign funded project.Kitu usichokijua Kikwete huyo huyo ndio mwanzilishi na mletaji wa Tanzanite Bridge hata angekuja Rais gani lingejengwa maan a kila kitu kilikua tayari ilibaki kupata mkandarasi na kuweka jiwe la msingi.Huyo mnaedhani alikusanya kodi ndiye alikopa zaidi nyingine zikaenda kuweka Taa za barabarani kijiji na Taa nyingi kuliko watu 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
.Haikuwa na haja ya kuchukuwa pesa za wastaafu kugharimia ujenzi wa daraja.

Serikali ya Rais Kikwete ilikuwa haikusanyi kodi, pesa hiyo ingetosha kujenga hilo daraja bila kupeleka mzigo kwa wananchi masikini. Sasa wakina Prof Mbarawa wanalazimika kujieleza wakati hata hawakuwepo kipindi cha maamuzi.
 
najua tu watz humu wangeulizwa wange wish kuzaliwa nchi gani kati ya ke na tz, wengi wenu mnge chagua kenya, ila mnaogopa, ama mtaona aibu kuyasema hayo hapa.. hehe.. ukweli wa mambo

"kenya the most sophisticated country in this eastern africa block, with a consistent track record of being the largest economy in this region ever since the colonial times"
Kuomba kuzaliwa kenya ni sawa na kuomba kuzaliwa nguruwe ulaya hakuna mtz anatamani kuishi kenya huo ndiyo ukweli
 
Mnatufuatilia maanake hakuna Mkenya anayejua hata TBC ni nini wala wamepost nini. Nyinyi mmejaa kwa mapage za media za Kenya na hata TV mnatazama za Kenya.
Ndiyo maana tunajua kuwa 80% ya watu nairobi ni maslumist wanaishi kwa slum na 14% wanaishi kwa apartment 6% ndiyo wanaishi kwa nyumba zao ,sasa kokotoa hizo percent kwa idadi ya watu mil 4 wa nairobi
 
Jaribuuu huuu uharo wako ata pale Ruvuma mkoa unao ongoza kulima maindi nchi nzima, kama hutajikuta icu...yani ww uwezo wakonwakufikir ni mashaka matup
Mzenji huyo uwezo wake wa kufikiri ni kuwenda marikiti tu
 
Kajinyonge kamba ni bure,Mama yuko kazini [emoji116]

View attachment 2110947
Mama yupo nje ya wakati anafuata njia ya jpm baada ya kuona njia zake za kisengerema zimebuma sasa hivi kaanzisha tax force kama jpm pia kuhusu ujambazi katumia mbinu ya jpm na sasa anataka kutumia njia ya jpm katika kutumbua adharani
 



Simba 254 wacha desperation! ati unajiita "gich boy" sijui "buchu boy"...? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2369][emoji2369][emoji2369][emoji2369][emoji2369]

ichoboy01 njoo muone jirani yako na desperation mpaka twitter!
Geza Ulole [emoji1787][emoji1787][emoji1787]kafurahia neno " boy" majiniasi mtanielewa[emoji304][emoji304]
 
Back
Top Bottom