The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Ubungo interchange ishafunikwa, uko wapi wewe? Sisi hatukai tukiongelea mradi mmoja daily, ona hii alafu tutaipotezea mda c mrefu litakuja funga mwaka soon, wkt nyie mnahangaika na expressway mwaka mzima sisi tuko na hii Hatuwasubiriyani, tangia expressway ianze ku catch shape, hatuskii tena kelele za ubungo interchange hapa. atleast sasa tunaweza pumua. walikimya wote, hasa Ichoboy . mzee wa 3levels






