Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mwanza
IMG_4593.jpg

IMG_4594.jpg

IMG_4595.jpg

IMG_4596.jpg
 
Kama zitakua nne nafkiri kutakua na Mini Flyovers na Bridges nyingi bila kusahau Service Roads. Bado itapendeza na Itapunguza Foleni sana. Hii barabara ikipanuliwa Vzr itaongeza Biashara na Pesa Nyingi sana.
Wangefanya njia nane mpaka chalinze alafu njia nne mpaka huko morogoro
 
namdhamini na kumuenzi sana mrh. mwl. julius kambarage nyerere, sababu aliidhamini sana kenya, ata kuupaka aina yote ya rangi,.... mara alitaja kenya kama 'ulaya',... mara kaitaja kama 'uzunguni',... mara nairobi ni 'london'. etc.
mwalimu nyerere hoiye!! 🙌 your legacy lives on!... continue resting in power..
 
namdhamini na kumuenzi sana mrh. mwl. julius kambarage nyerere, sababu aliidhamini sana kenya, hata kuupaka aina yote ya rangi!,.... mara alitaja kenya kama 'ulaya',... mara kaitaja kama 'uzunguni',... mara nairobi kama 'half london'. etc.
mwalimu nyerere hoiye!! your legacy lives forever!... continue resting in power..
Baada mwl nyerere kuyasema hayo yotee akamalizia na " kenya is the man eating man" wewe unafikili ni kwanini?
 
Ukiangalia kwa upana kwa nini kuna tofauti jibu ni simple tuu,Kenya na Tzn tuna watu wengi compared na wao kwa hiyo huduma za jamii zinachukua pesa nyingi..

Pili tuna eneo kubwa ambalo ni habitable wakati wao Wana eneo dogo ambalo ni habitable sehemu kubwa ni majangwa kwa hiyo side huku EAC Tunatakiwa kutawanya maendeleo eneo kubwa wao yako concentrated maeneo madogo kwa mantiki hiyo lazima wawe vizuri..

Hoja ya sijui ardhi nzuri ya kilimo mara madini haina mashiko Sana kwa sababu wao Wana mafuta na gas ambayo ni madini yanayohitajika kwa wingi zaidi kulingana na umuhimu wake..
💯✔umesema vilivyo🔥
 

Rubbish, serikali ndio iwalipe nssf sio kutoza Watu..

Kwamba nssf saizi wanamiliki kipande cha bahari ukitaka kutumia lazima kuwalipa sio?

Hakuna logic hapo, serikali walipe nssf pesa zao na tupite free unless madaraja yote yatozwe..

Yaani kwa sababu vigogo na mabalozi wanatumia njia ya coco beach basi mnaona shida kuwatoza kwa visingizio vya kijinga.
 
Back
Top Bottom