Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

GDP ya hao Libya,Algeria zimekaribia ya kenya????
Kenya tuko poa tutakapofikia GDP ya hao majamaa tutakuwa noma kuwaliko!
Lakini swali ni hili
Tanzania na ambavyo mko wengi,Rotuba nzuri na bado Ukubwa huo wote wa Nchi yenu😂😂😂😂
Swali ni hili!
Mko na GDP ngapi??
Dar imeshinda Rwanda kwa ???
Hizo nchi mlizoleta picha yazo je zinafanana na daresalam ama hata kukaribia???
Mombasa yenyewe inakibizana na Dar! Dont joke with Nairobi wwe bado hamjafika!
Ukiangalia kwa upana kwa nini kuna tofauti jibu ni simple tuu,Kenya na Tzn tuna watu wengi compared na wao kwa hiyo huduma za jamii zinachukua pesa nyingi..

Pili tuna eneo kubwa ambalo ni habitable wakati wao Wana eneo dogo ambalo ni habitable sehemu kubwa ni majangwa kwa hiyo side huku EAC Tunatakiwa kutawanya maendeleo eneo kubwa wao yako concentrated maeneo madogo kwa mantiki hiyo lazima wawe vizuri..

Hoja ya sijui ardhi nzuri ya kilimo mara madini haina mashiko Sana kwa sababu wao Wana mafuta na gas ambayo ni madini yanayohitajika kwa wingi zaidi kulingana na umuhimu wake..
 
Arusha holili dual carriageway km 117 asee ni nomaa pamoja na cable stayed bridge nyingine ya 500 metres inakuja 🤔
Sababu kuanzia Arusha mpaka Kilimanjaro eneo lote hilo ni urban, dual carriageway inayojengwa ni kama hii

Kwenye madaraja Tanzania haina mshindani

images (46).jpeg


images (45).jpeg
 
Hata mimi nawaamini Sana Japanese.

Hiyo barabara ilitolewaga mkopo na AfDB kwenye mpango wa kuunganisha barabara za EAC lakini ilijengwa km chache za Arusha na ile bypass baada ya hapo kukawa kimya sijui nini kilitokea but tunawashukuru Japan sasa mambo yatanoga..

Kama hiyo itakuwa dual carriage kwa umbali huo,tunasubiria na ya Dar-Moro-Dom,,Igawa-Mbeya-Tunduma, Mwanza-Shinyaga,na zile km 50 kila upande za Dodoma.
Japanese nawakubali kwa kiwango cha ujenzi .
Angalia old salender imejengwa na kajima Company 1980 sasahivi ni miaka 42 bado kiwango kipo juu
 
Algeria is building the third largest mosque on earth . Expressway in Algeria . Kenyans mnaona nchi zenye GDP ya kweli hufanya.? Let me show you the second most beautiful city of Algeria .. Oran CityView attachment 2108314View attachment 2108315View attachment 2108316View attachment 2108317View attachment 2108318View attachment 2108319View attachment 2108320View attachment 2108321View attachment 2108322View attachment 2108323View attachment 2108324View attachment 2108325View attachment 2108326View attachment 2108327View attachment 2108328eti kenya ndio iko na uchumi wa kukaribiana na Algeria Aah kumamake GDP ni ushenzi wa mzungu.. kwasababu kila ndoto inazoota kenya (NAIROBI), Oran City (the second most beautiful city of Algeria) ilishazifikia kitambo tu
Hawa waarabu hatuwawezi

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hii city imeivaa sana the most beautiful city in Africa,nitafute hela nifike cape town

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hii barabara zaidi ya kilometers 100 dual carriageway Arusha to Kilimanjaro itaifanya Nairobi iwe na wakati mgumu sana

Section ya hii barabara ni muhimu ukizingatia Moshi - arusha ni miji muhimu na inachangia pakubwa katika GDP ya nchi.
Sijasikia kama wanatanua na sehemu ya njia ya ikiingia KIA

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom