Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa jamaa hovyo kabisa, siyo sahihi kuwapiga hao watoto, walitakiwa kwanza kuwapatia msaada.
Wangelidondoka wafe unafikiri vyombo vya dola wangeliwaacha hao majamaa.
Kupigwa ilikua sahihi kabisa mzee, hyo ni hatari sana..
Hapo serekali imekaa kimyaa km hawajaona vile, lkn emu ingetokea wafe mzee gari kwanza linasekwa ndani mpewe kesi ya kujibu..
Kwnn hamkufanya ukaguzi pale pindi mnaondoka
 
Wangelidondoka wafe unafikiri vyombo vya dola wangeliwaacha hao majamaa.
Kupigwa ilikua sahihi kabisa mzee, hyo ni hatari sana..
Hapo serekali imekaa kimyaa km hawajaona vile, lkn emu ingetokea wafe mzee gari kwanza linasekwa ndani mpewe kesi ya kujibu..
Kwnn hamkufanya ukaguzi pale pindi mnaondoka
Kweli kabisa asee
 
SkyCity Mall next to Mlimani City
20220202_191714.jpg
 
huyu ni mtu munafaa kucheka na kuondoka tu 🤣🤣🤣🤣🤣

tunasubiri kwa hamu kuonesha hzo interchange in mombasa na ikiwemo three level interchange atuoneshe pia 😂😂😂

anafananisha cable stayed bridge na vile vi bridge vya 300m hahahaha jamani mpimeni mkojo huyu

alaf walipoona nairobi imenyewa sasa wanaakuja na proposal hii ili wajifariji lakini ukweli ni kua hakuna nchi leo inawanyima usingizi kama tanzania 😂😂😂😂😂
Infact Mombasa has around 8 bridges
Now let`s do bridges.

1. Mteza Bridge 1.4km
View attachment 2077890
View attachment 2077892

2. Mwache Bridge 600m
View attachment 2077894
View attachment 2077895

3. Makupa Bridge 457m
View attachment 2077897
4. Nyali bridge
images (38).jpeg

5. KPA Kipevu bridge
images (35).jpeg

6. CFS Kibarani bridge
images (41).jpeg

7. Liwatoni bridge
images (37).jpeg

8. Likoni bridge(U/C.
images (42).jpeg
 
Wangelidondoka wafe unafikiri vyombo vya dola wangeliwaacha hao majamaa.
Kupigwa ilikua sahihi kabisa mzee, hyo ni hatari sana..
Hapo serekali imekaa kimyaa km hawajaona vile, lkn emu ingetokea wafe mzee gari kwanza linasekwa ndani mpewe kesi ya kujibu..
Kwnn hamkufanya ukaguzi pale pindi mnaondoka
Walitakiwa kuwatafuta wazazi wao, na kuwahoji. Utundu ni kudandia gari kwa nyuma na hapo wanatakiwa kuchapwa.

kitendo cha hao watoto kujificha kwenye uvungu wa basi na kusafiri umbali mrefu kiasi hicho, hilo ni tatizo kubwa sana la kisaikolojia, wazazi/walezi wanatakiwa kukamatwa.
 
oneni bridge zao kuna moja nimeiona.. ipo kama ya pale bandarin zaman
Siku hizi nimejifunza kunyamaza. Sijui ubongo wa Wabongo una shida gani.. Unaeza ona MTU na akili zake akisisitiza kuwa Mtwara ni mji umeendelea kuliko Nairobi. Anyway "dreaming is a human right".
 
Infact Mombasa has around 8 bridges

4. Nyali bridge
View attachment 2105664
5. KPA Kipevu bridge
View attachment 2105665
6. CFS Kibarani bridge
View attachment 2105669
7. Liwatoni bridge
View attachment 2105671
8. Likoni bridge(U/C.
View attachment 2105672
sisi hatuhesabu madaraja ya namna hii yaani arch bridges kwetu sie haya si madaraja maana ni ya technology zamani! dar yapo mengi tu hata pale Selander, Mbagala, Tabata na Jangwani yapo! Chungu nzima! Sisi tunahesabu suspension or cable stayed bridges!
 
sisi hatuhesabu madaraja ya namna hii yaani arch bridges kwetu sie haya si madaraja maana ni ya technology zamani! dar yapo mengi tu hata pale Selander, Mbagala, Tabata na Jangwani yapo! Chungu nzima! Sisi tunahesabu suspension or cable stayed bridges!
Haiya, umeyapata mseto
 
Back
Top Bottom