Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wamebakia kupost expressway ya mchina ambayo hawataitumia bila malipo kwenda kwa mchina kwa miaka 30[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

View attachment 2105256View attachment 2105257View attachment 2105258
Hii ndio raha ya kuwa na nchi yenye inclusive economy co paper economy, hapo ingekuwa Kenya raia wangelipishwa kupita hapo juu lkn Tz ni bure kabisa kupita hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Teargas Nicxie leo niko mitaani kidogo karibuni 🤣🤣🤣🤣🤣
niko na mini cooper(s)
supercharger with intercooler
manual transmission 7gear speed

🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
7A019D00-3B13-44E5-BE10-B9D05B2CE6FD.jpeg
80A1F133-C7A2-4226-BA7B-9382940FA528.jpeg
09FF8FF0-02B7-4ECF-9E18-2A6DDCC4FBAD.jpeg
E2A861D3-028F-417A-BC84-C9F028FC330B.jpeg
 
Wazanzibar mnachukia wabara mnatamani muwe mnawasafisha mavi wa oman na waarabu kuliku kuwaona wabara nani asiye wajua ila huu wakati msipo utumia vizeri kuvunja muungano basi mjue mtalia milele ,cheki bara kuna mgao wa umeme ila wazanzibar wamewekwa nje ya mgao kwa hiyo zanzibar haipo kwenye mgao niambie jwanini?
mtu wa njombe kawa mzanzibari tena
 
Teargas Nicxie leo niko mitaani kidogo karibuni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
niko na mini cooper(s)
supercharger with intercooler
manual transmission 7gear speed

[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]View attachment 2105418View attachment 2105419View attachment 2105422View attachment 2105424
Hii chombo inaenda ngapi sahv? His naikubali sana mini cooper

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom