Asa unataka kujidanganya kwamba hizo gari zinatengenezwa kunya?Heri hata ungenyamaza
Now let`s do bridges.huyu ni mtu munafaa kucheka na kuondoka tu 🤣🤣🤣🤣🤣
tunasubiri kwa hamu kuonesha hzo interchange in mombasa na ikiwemo three level interchange atuoneshe pia 😂😂😂
anafananisha cable stayed bridge na vile vi bridge vya 300m hahahaha jamani mpimeni mkojo huyu
alaf walipoona nairobi imenyewa sasa wanaakuja na proposal hii ili wajifariji lakini ukweli ni kua hakuna nchi leo inawanyima usingizi kama tanzania 😂😂😂😂😂
Kuna national road, regional road, municipal road
Zanzibar haiumii meli za transhipment acha uongo😂😂😂ndio nakujibu sasa zanzibar ipo miaka kenda na zanzibar inahudumia meli za trasshipment nyingi sana mpaka za south africa
yani leo nimecheka sana 😂😂😂😂
Tunademka na mikopo tu 🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️
Hivi mbona hawa WB wanamsukumia mikopo hivi awamu hii, utafikiri ndio wanaiona Tanzania leo, yetu macho 🙄
Tozo tulizoambiwa za kujenga barabara 🤔
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mombasa ndio dawa ya Dar, soon Dar itabaki inashindana na Nakuru, Kisumu and Eldoret🤣🤣hio ndio interchange 🤣🤣🤣🤣 nakwambia changanya mombasa na nairobi kwa pamoja hata nusu ya dar hamukaribii
na haya maneno nayazungumza nikiwa nazijua mijiz zote hzo sio kwa kuambiwa 🤣
Wamejua vizuri ati Mombasa imeshina Dar, they don`t just want to admit it here.in reality Mombasa is more developed than dar.............tanganyika's shithole
Vitu kama hivi huwezi kukuta kunyaland
vitu kama hvi tanzania hata haizungumzii imekaa kimya 🤣🤣🤣
New year same angle, same area, same buildings🤣🤣🤣
Ni mkopo, ufadhili wa kujenga dual carriageway ya kilometers 244 haupo duniani.Ni ufadhili huo mkuu sio mkopo
Another assembly line was launched in Kenya.