ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
mm ndio kiboko yenu na hilo munalijua sasa hamuwezi kunipenda daima🤣🤣🤣🤣🤣mtu yeyote huwa anatake this guy serious anahitaji head check
mm ndio kiboko yenu na hilo munalijua sasa hamuwezi kunipenda daima🤣🤣🤣🤣🤣mtu yeyote huwa anatake this guy serious anahitaji head check
zanzibar ipo 😆😆😆mombasa has a cruise ship terminal dar has non
makwapa ya nani mlevi au??😂😂😂daresalaam ni makwapa tu
huyu ni mtu munafaa kucheka na kuondoka tu 🤣🤣🤣🤣🤣Mombasa imeshinda Dar kwa infrastructure.
1. Mombasa has three interchanges, Dar has two.
2. Mombasa has four flyovers, Dar has one.
3. Mombasa has four bridges, Dar has three.
4. Mombasa has a functioning SGR, Dar has none.
5. Mombasa has a port handling 34M tonnes a year, Dar has a port only handling 16M.
6. Mombasa has shipyard, Dar has none.
7. Mombasa has floating bridge, Dar has none.
The only infrastructure Dar inashinda nayo Mombasa ni BRT.
Kelele zako haitazuia Zanzibar kutumia Lamu port😂😂unawazimu wa kichwa labda kabla ya lamu zanzibar port ipo na haikuwah kutegea ushuzi unaoitwa white elephant lamu 🤣🤣
Ebu enda ukaulize President wa Zanzibar atakuambiahio ngoma ya lappset iko wapi leo ni over 10 yrs iko wapi hebu tuoneshe 😂😂😂😂😂
Mombasa imelemea Dar to a point that unaitisha usaidizi kutoka Zanzibar?🤣🤣🤣zanzibar ipo 😆😆😆
Kelele zako haitazuia Zanzibar kutumia Lamu port😂😂
yani mombasa hata kwa mwanza kwenye modern city haifui dafu wachilia mbali dar ambayo nairobi imetokwa na ushuzi 😂😂😂Mombasa imelemea Dar to a point that unaitisha usaidizi kutoka Zanzibar?🤣🤣🤣
Let`s start with interchanges.huyu ni mtu munafaa kucheka na kuondoka tu 🤣🤣🤣🤣🤣
tunasubiri kwa hamu kuonesha hzo interchange in mombasa na ikiwemo three level interchange atuoneshe pia 😂😂😂
anafananisha cable stayed bridge na vile vi bridge vya 300m hahahaha jamani mpimeni mkojo huyu
alaf walipoona nairobi imenyewa sasa wanaakuja na proposal hii ili wajifariji lakini ukweli ni kua hakuna nchi leo inawanyima usingizi kama tanzania 😂😂😂😂😂
hzi ndio interchange hvi ww unajua maana ya interchange kweli ?? 🤣🤣🤣🤣Let`s start with interchanges.
View attachment 2077874
View attachment 2077876
View attachment 2077878
Mimi usinililie tafahali. Zanzibar can`t survive without Lamu port.😂😂😂ww unajua maana ya transshipment au hata elimu ya meli unataka kujifanya unaijua manake hakuna elimu usioijua ww mr engineer 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwani hujui kuna transshipment ya meli kutoka djebout kuja mombasa au nikupe ushahidi
Hapo mombasa ishachapa Dar bao🤣🤣🤣hzi ndio interchange hvi ww unajua maana ya interchange kweli ?? 🤣🤣🤣🤣
ndio nakujibu sasa zanzibar ipo miaka kenda na zanzibar inahudumia meli za trasshipment nyingi sana mpaka za south africaMimi usinililie tafahali. Zanzibar can`t survive without Lamu port.😂😂😂
hio ndio interchange 🤣🤣🤣🤣 nakwambia changanya mombasa na nairobi kwa pamoja hata nusu ya dar hamukaribiiHapo mombasa ishachapa Dar bao🤣🤣🤣
yani mombasa hata kwa mwanza kwenye modern city haifui dafu wachilia mbali dar ambayo nairobi imetokwa na ushuzi![]()




vitu kama hvi tanzania hata haizungumzii imekaa kimya 🤣🤣🤣Hapo mombasa ishachapa Dar bao🤣🤣🤣
unatumia nguvu nyingi na kijitanganyika chenu........economy ya 50 billion dollars.....what a shamemakwapa ya nani mlevi au??😂😂😂