Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Westlands is more developed than Dar.

1643830053952.png
 
Wee ndiyo yule yule opportunity cost tunakujua mzee.
Opportunity cost yupo na siyo Mimi sijawahi badili identity,jiepusheni kukoment negatively or positively kwenye vitu msivyovijua, mliongea mengi kilipooneshwa kile kichwa baada ya kujua matumizi mmepoteana,wengine tulitulia kusubiri maarifa zaidi.No research No right to speak.
 
Ila truth to be said there is no way mnaweza mkawa mbele yatu iwe production capacity au actual production! Yaani sahau hilo! labda kwa media propaganda!
Inawezekana mumetushinda kwenye production ila bado production yenu haijafika 11 million MT. Either way, hata kama mumetushinda, sio kwa mbali kama wanavyosema eti 11 million MT. Nyie pengine mnaproduce 8 au 9 million MT wakati Kenya tunaproduce 7 million MT. Tofauti ni kidogo sana japo nakubali inawezekana kwamba mumetupiku.
 
Back
Top Bottom