Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sasa 100m nnn?. hii ina stretch 27km nonstop na hatupigi mayowe View attachment 2104032
Cable stay bridge.? Or Flyover.? 😂😂😂 Unatafuta pakutokea ufix upuuzi wako 👇
Screenshot_20220201-133830_1.jpg
FKfM_6iWUAApm5w.jpeg
IMG_4337.jpg
IMG_4347.jpg
 
hivyo vichwa viliagizwa chini ya Magufuli msitake kusingizia ati mama! Hivyo sogeza na vile vingine vyote vinatoka Malaysia! Na actually subirini seal itolewe vichwa ni vya kisasa!
Hebu tusubiri tuone
 
Kitu mlifanya na nawapongeza ni kuweza pigia magoti hao chinese wakawajengea hiyo express way...hapo wala sipingi imeboresha sana muonekano wa mji wenu, lakini pia imeonyesh ni jinsi gani kanairobarry ni tiny though
kanairo ni tiny kweli?
5DFB2526-7FF0-4167-BE09-A846CB0D27E6 (1).png
 
February 1, 20221:19 PM GMT+1Last Updated an hour ago
Energy

TotalEnergies, CNOOC make final decision on $10 bln Uganda, Tanzania oil project​

By Elias Biryabarema

2 minute read
The logo of French oil and gas company TotalEnergies is seen at a petrol station in Ressons, France, August 6, 2021. REUTERS/Pascal Rossignol

The logo of French oil and gas company Total is seen in Rueil-Malmaison, near Paris, France, March 2, 2021. REUTERS/Benoit Tessier

The logo of French oil giant Total is seen at La Defense business and financial district in Courbevoie, near Paris, France. May 16, 2018. REUTERS/Charles Platiau

The logo of French oil and gas company Total is seen in Rueil-Malmaison, near Paris, France, March 2, 2021. REUTERS/Benoit Tessier


Summary
  • Agreement ends years of delays for oil development
  • Uganda govt says project will create 160,000 jobs
KAMPALA, Feb 1 (Reuters) - TotalEnergies (TTEF.PA) and its partner China National Offshore Oil Corporation have reached a deal with Uganda and Tanzania to invest more than $10 billion in developing crude oil production in East Africa, the French group said on Tuesday.
"In the name of the joint venture partners and... TotalEnergies, I declare the final investment decision for the Lake Albert development project," TotalEnergies Chief Executive Patrick Pouyanne told a ceremony to announce the plan broadcast on television.

The project will cover the development of oil fields, processing facilities and a pipeline network in Uganda, plus an export pipeline through Tanzania to carry landlocked Uganda's crude to a port on the Indian Ocean.

Uganda discovered crude oil reserves near its border with the Democratic Republic of Congo in 2006, but production has been repeatedly delayed by disagreements between the government and oil firms over tax and development strategy, and a lack of infrastructure.

TotalEnergies said on its Twitter account earlier on Tuesday that the announcement signified a commitment by the oil companies to invest upwards of $10 billion in the project.

"This milestone puts us on the path to first oil in 2025," Minister of Energy and Mineral Development Ruth Nankabirwa Ssentamu said in a speech ahead of the signing.

Close to 160,000 jobs are expected to be created during the project's development, Ssentamu said.

Government geologists estimate that the country's gross reserves stand at 6 billion barrels, while recoverable oil is seen at 1.4 billion barrels.

Reporting by Elias Biryabarema; Editing by George Obulutsa and Jan Harvey



Kudos to JPM kwa kunyakua hii dili mikononi mwa wakunya.. otherwise we wouldn’t have been posting endless updates with pride like this,
And we pray for Samia to do the needful.
Tanzanians and especially people of Tanga will always remember him.
 
Acha izo wewe Kikwete alikua raisi lakini aliebuni ni Magu akiwa waziri. Pia la mfugale, kijazi na kigongo busisi pamoja na mengine sema la busisi lilikua far away from being accepted. Mnakua blind mpaka mnajitia mkwere anakili kisa hamumpendi Magu acheni chuki za Kijinga.
Hizi infrastructure ni vichwa vya Magu na Mfugale acheni uzwazwa.
Magu na Mfugale walichangia hadi structure ya mji wa Kigali na ndio chanzo cha Mkapa kumpa fursa Magu. Hawa jamaa wamekua na mchango mkubwa tangu enzi za mkapa
Hata hii kujenga barabara Magu ndio alibuni hii plan ya kutenga pesa, huyu jamaa angepataga support kubwa akiwa waziri angefanya mambo mengi, alikuwa anawaza vitu vikubwa ambapo kwa wengine ilionekana impossible.
 
Kudos to JPM kwa kunyakua hii dili mikononi mwa wakunya.. otherwise we wouldn’t have been posting endless updates with pride like this,
And we pray for Samia to do the needful.
Tanzanians and especially people of Tanga will always remember him.
Hii ndio Chanzo cha chuki kuu ya Wakunya kwa JPM

Na pia Kikwete aliona kama JPM alimuoutsmart
 
and the difference between Tz and Kunya is that we always get best deals..
The plans on place are to revolutionize our infrastructure countrywide ..
Expect the signing of 180 Expressway Kibaha - Moro
Then 200km Expressway Igawa - Tunduma
staki render ama proposals mzee
. leta vitu tangible iliopo live kwenye ground kama sisi. us we never show renders like you guys are fond of doing
 
Back
Top Bottom