Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hoja kama hizo zinazohusu wakenya na ambazo huyaelewi, ni vizuri kuuliza ndipo ujibiwe.
First you should know that Kenyans love holidays like crazy when that little chance comes by they make full use if it.
Secondly, Kenyans would go spend their holidays with their extended families. most Kenyans are in nairobi for work but have a rural home.
The most important part of this is that Kenyans go to ushago where they registered so that they have their chance to vote in his MCA, Governor, Senator, Women Representative, his Member of Parliament and ultimately the president of his choice.
So the travelling doesn't necessarily idicate any form of tension though you won't dismiss the fact that some small percentage could go out of security concerns which is their personal issue....
eti holidays...smh.
huna la kunidanganya kaka.nimeishi kenya kwa mda mrefu hivyo nina uhakika na nililo zungumza.

katika kampeni za uchaguzi zilizopita ambazo zilizomuingiza uhuru kenyatta kwa mara ya kwanza katika urais mwaka 2013,nilikuwa nairobi.

siku chache kabla siku ya kupiga kura,nilishuhudia kwa macho yangu taharuki iliyotanda miongoni mwa wakazi wa Nairobi.

baadhi waliikimbia nairobi na kurudi ushago/mashinani kuhofia ghasia.

nilitaka nibaki mpaka siku ya kupiga kura,jamaa zangu ambao ni wakenya walinishauri nirudi tz mpaka uchaguzi upite ndio nirudi kuendelea na shughuli zangu.
fba37ce20de405b6e5e6f2f7b68c8ab1.jpg
480a55bf178d563de0b676e3d8661161.jpg
d4a4e82d7887ff9614e6064c148798ad.jpg
 
I think hii vagueness sio nzuri.
Check these two statements out:
"According to the project report, the 24-inch diameter pipeline will move 216,000 barrels of oil per day at a cost of about Sh1300 ($12.2) per barrel."
AND
"Tanzania will charge Uganda a tariff/transit fee of Shs40,321 ($12.2) for each barrel of oil going through the crude oil pipeline to Tanga port at the Indian Ocean for exportation to the international market."
Do they mean the same thing?

Hizi zimeandikwa na Magazeti gan ..la kwanza la Kenya la pili la Ug au
 
Achana na magazeti ya kibongo hamna journalism huku wanareport whatever they hear no research.
Read other credible sources utaona.
Kuna ripoti moja nimesoma jana imeandika "Gharama ya kupitisha mafuta Tanzania ni $12 kwa kila pipa"
Em interpret hiyo sentensi vizuri.
I don't think ina maana kwamba UG itailipa TZ hela zote hizo ila it means total of all transit costs ni $12 per barrel

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro yani nimejaribu kusoma maelezo yako nimegundua una thinking capacity ndogo sana
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Bomba la mafuta limeleta yafuatayo
1.Pesa zaidi ya Trillion 2.1 kwa mwaka..hizo ni kodi tuu
2..Upanuzi wa Bandari Ya Tanga
3.Ajira zaid ya 10k
4.Biashara ya kupeleka Gas Uganda ,Rwanda na Burundi
5.Congo watajiunga kutumia na wao wakitaka kusafirsha mafuta yao ..that means more money more 12.5usd per barrel
6.Tanzania imetanganza kununua 8% ya hisa kama refinerry itajengwa UG ..that means mafuta yatashuka bei Tz
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
600million kenya vs 6.5 billion in uganda
View attachment 559175
That's one well several wells discovered lately add upto 1.5b...mega oil deposits are also in lamu but there is a dispute of boundary with Somalia... Wajir has natural gas too...but if Kenya improves agriculture it would benefit more people

sent from iPhone 7
 
eti holidays...smh.
huna la kunidanganya kaka.nimeishi kenya kwa mda mrefu hivyo nina uhakika na nililo zungumza.

katika kampeni za uchaguzi zilizopita ambazo zilizomuingiza uhuru kenyatta kwa mara ya kwanza katika urais mwaka 2013,nilikuwa nairobi.

siku chache kabla siku ya kupiga kura,nilishuhudia kwa macho yangu taharuki iliyotanda miongoni mwa wakazi wa Nairobi.

baadhi waliikimbia nairobi na kurudi ushago/mashinani kuhofia ghasia.

nilitaka nibaki mpaka siku ya kupiga kura,jamaa zangu ambao ni wakenya walinishauri nirudi tz mpaka uchaguzi upite ndio nirudi kuendelea na shughuli zangu.
fba37ce20de405b6e5e6f2f7b68c8ab1.jpg
480a55bf178d563de0b676e3d8661161.jpg
d4a4e82d7887ff9614e6064c148798ad.jpg
Kura nliregister ocha inabidi niende nkavote uko msee

sent from iPhone 7
 
Huyu jamaa thinking capacity iko low. Alafu kingereza kinampinga chenga. Ni bora awe anasoma source za kiswahili. Katoa article mbili za kiingereza zinamanisha kitu kilele but in different grammar jamaa kapatwa na mshituko wa ubongo
Bro yani nimejaribu kusoma maelezo yako nimegundua una thinking capacity ndogo sana
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom