Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,039
- 8,170
Umeme na bandari ziko nje kabisa ya 12$
Yani 12$ ni kodi ya ardhi ya kupitisha hilo bomba
Ambayo kila barrel itakayopita italipiwa 12$
Haya nimekupata ...sio kwamba cjaona dho magufuli alichosema ..mm nataka ujarbubku reason..kama barrel kwenye markert inauzwa 50usd ..watoe 12usd .kwa Tz ..wabaki na 38usd hyo 38 wagawanye makampuni matatu ..bado bei za uchimbaji ..bado Uganda wenye mali yao hawajapewa pesa ..amabao wao wanabid wapate kama 25usd hiv per barrel..ungeniambia ni 12.5usd kila kitu nngekubali kirahisi..anyways ni mambo yao hayo..lets wait ..i want the 12.5 usd iwe yz Tz
