Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ooh kwani ni kama bei ya sgr

sent from iPhone 7
Uchaguzi mwema wakati ameshakimbilia Uganda. Hata na baisikeli jamaa hawaachi. Safari yao nikama hawato rudi milele kikinuka. Kumbe mihoga kichizi hii mijamaa. Kwa sasa utasikia wengine wameenda Somalia.
Screenshot_2017-08-06-12-14-09.png
 
eti holidays...smh.
huna la kunidanganya kaka.nimeishi kenya kwa mda mrefu hivyo nina uhakika na nililo zungumza.

katika kampeni za uchaguzi zilizopita ambazo zilizomuingiza uhuru kenyatta kwa mara ya kwanza katika urais mwaka 2013,nilikuwa nairobi.

siku chache kabla siku ya kupiga kura,nilishuhudia kwa macho yangu taharuki iliyotanda miongoni mwa wakazi wa Nairobi.

baadhi waliikimbia nairobi na kurudi ushago/mashinani kuhofia ghasia.

nilitaka nibaki mpaka siku ya kupiga kura,jamaa zangu ambao ni wakenya walinishauri nirudi tz mpaka uchaguzi upite ndio nirudi kuendelea na shughuli zangu.
fba37ce20de405b6e5e6f2f7b68c8ab1.jpg
480a55bf178d563de0b676e3d8661161.jpg
d4a4e82d7887ff9614e6064c148798ad.jpg


wewe shinda hapo na propaganda zako. . currently enjoying life at home in Kisumu before heading to ushago in the evening where i registered.The gubernatorial seat is what made me register at home because a close family friend has high chances of clinching it.We want to rid our county government of corruption
 
PRESIDENTS MUSEVENI AND MAGUFULI LAY FOUNDATION STONE FOR CRUDE OIL PIPELINE MEGA PROJECT!

Tanzania President Hon. Dr. John Pombe Joseph Magufuli and his Uganda counterpart Hon. Yoweri Kaguta Museveni Commissioned the Construction of the 1,445km-long East African Crude Oil Pipe Line from Hoima District in Uganda to the Tanzanian Port of Tanga in Chongoleani Area.

QUICK FACTS ABOUT EAST AFRICA CRUDE OIL PIPELINE:

- At 1,445kms, it will be the longest electrically-heated oil pipeline in the world.
- Uganda will host 296kms of the pipeline, while the remaining 1,149kms will be in Tanzania.
- In Uganda, the pipeline will run through eight districts and 24 sub-counties. In Tanzania, it will go through eight regions and 24 districts.
- It will be a buried pipeline, with 1.2 metres of it beneath the ground.
- Its estimated cost is $3.55 billion while constriction should last three years.
- It will have a daily flow rate of 216,000 barrels with six pumping stations and two pressure reduction stations.
 
wewe shinda hapo na propaganda zako. . currently enjoying life at home in Kisumu before heading to ushago in the evening where i registered.The gubernatorial seat is what made me register at home because a close family friend has high chances of clinching it.We want to rid our county government of corruption

sawa buda haina shida....nakutakia upigaji kura wa amani huko kusumu.

"kikiumana", vuka boda njoo tz ujihifadhi.
ee07449d4b9c5e68c96456a96b045010.jpg
 
I was roaming the Nairobi streets today! The Campaigns have made the city very dirty! Posters pasted all over, paper caps and campaign brochures littering the streets! And again Kidero has totally failed to keep the city clean. However all is not gloom!

IMG_20170806_160056.jpg
IMG_20170806_160141.jpg
IMG_20170806_160147.jpg
IMG_20170806_160239.jpg
IMG_20170806_160308.jpg
IMG_20170806_160317.jpg
IMG_20170806_160323.jpg
IMG_20170806_160456.jpg
IMG_20170806_160652.jpg
IMG_20170806_160839.jpg
IMG_20170806_160849.jpg
IMG_20170806_160909.jpg
IMG_20170806_161020.jpg
IMG_20170806_161119.jpg
IMG_20170806_161704.jpg
 
Back
Top Bottom