Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wasenge kweli. Alafu wanajiita wanaume
ila kiukweli yapasa tuwaombee wavuke salama katika wakati huu.tusiwadhihaki.

ni kipindi kigumu sana kwa baadhi ya wakenya.baadhi yao,uchaguzi huwakumbusha makovu ya ghasia za mwaka 2007-8.
 
siasa za kenya hatari sana..
watu wameikimbia Nairobi wallah.

36cba804aab39caeb34f8e32a088cfb5.jpg
9d54574d8ac300f62e65bb953052e5ab.jpg
f768c6597413fcd2e9141ad05a29dd45.jpg


bdc6408a29d07222519c898159c2d246.jpg

17a4a24d5d813e4b309828adef1306fa.jpg




Sent using Jamii Forums mobile app
 
2.16 tz trillion = 99 b Kenyan shillings

Tea alone earns Kenya 150 b
Horticulture earns more than 100b
Tourism more than 100b
KRA collected 1.374 trillion Kenyan shillings 2016/17
Kenya would earn usd 50 per barrel from the turkana oil
Kenya has discovered natural gases in wajir county
List is endless...its an archievement to have the pipeline but you guys are over excited



sent from iPhone 7
Tourism yakweli hayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sol Campbell is dar since yesterday...courtesy of sportpesa.
c9610443fa5523c7110f2b12beaf84fd.jpg
 
Tanzania nchi maskini Sana tupwatupwa,just trying to keep up with the super league
 
2.16 tz trillion = 99 b Kenyan shillings

Tea alone earns Kenya 150 b
Horticulture earns more than 100b
Tourism more than 100b
KRA collected 1.374 trillion Kenyan shillings 2016/17
Kenya would earn usd 50 per barrel from the turkana oil
Kenya has discovered natural gases in wajir county
List is endless...its an archievement to have the pipeline but you guys are over excited



sent from iPhone 7
Naona umepatwa na maumivu makali sana
Usisahau investment ya lpg plant in lindi 30 billion$....usisahu tunajenga bomba la gas to uganda rwanda burundi and congo....
😀😀😀😀😀😀😀😀😀 yani kwa kifupi oil ilioko turkana ni ndogo sana tena sana na usije sema tanzania hakuna oil 😛😛😛😛😛
 
Collo kashaikimbia Nairobi.kaenda ushago kukwepa hekaheka za nairobi wakati wa kupiga kura na wakati wa kutangaza matokeo.

kipindi hiki nchi ya kenya huwa na tension kubwa sana, kila mkenya huchukua tafadhali mapema.
Kwa hoja kama hizo zinazohusu wakenya na ambazo huyaelewi, ni vizuri kuuliza ndipo ujibiwe.
First you should know that Kenyans love holidays like crazy when that little chance comes by they make full use if it.
Secondly, Kenyans would go spend their holidays with their extended families. most Kenyans are in nairobi for work but have a rural home.
The most important part of this is that Kenyans go to ushago where they registered so that they have their chance to vote in his MCA, Governor, Senator, Women Representative, his Member of Parliament and ultimately the president of his choice.
So the travelling doesn't necessarily idicate any form of tension though you won't dismiss the fact that some small percentage could go out of security concerns which is their personal issue....
 
2.16 tz trillion = 99 b Kenyan shillings

Tea alone earns Kenya 150 b
Horticulture earns more than 100b
Tourism more than 100b
KRA collected 1.374 trillion Kenyan shillings 2016/17
Kenya would earn usd 50 per barrel from the turkana oil
Kenya has discovered natural gases in wajir county
List is endless...its an archievement to have the pipeline but you guys are over excited



sent from iPhone 7
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
600million kenya vs 6.5 billion in uganda
20170806_090157.jpg
 
Bomba la mafuta limeleta yafuatayo
1.Pesa zaidi ya Trillion 2.1 kwa mwaka..hizo ni kodi tuu
2..Upanuzi wa Bandari Ya Tanga
3.Ajira zaid ya 10k
4.Biashara ya kupeleka Gas Uganda ,Rwanda na Burundi
5.Congo watajiunga kutumia na wao wakitaka kusafirsha mafuta yao ..that means more money more 12.5usd per barrel
6.Tanzania imetanganza kununua 8% ya hisa kama refinerry itajengwa UG ..that means mafuta yatashuka bei Tz
 
b6ee5e1e48968673b27987d7117419d9.jpg


Katika upande mwingine
65ab6d60e2cda9ce891b34c3937b288a.jpg
I think you had a point jana. None of these zinasema kwamba "Tanzania italipwa $12 per barrel" instead all sources zinasema "Uganda italipa $12 per barrel kusafirisha mafuta yake through Tanzania"
Swali langu ni nani huyo atakayelipwa hizo hela? Usikute hiyo ni sum total ya transit fees ambayo mwisho wa siku share ya TZ ni ndogo.
Just wondering out loud.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I think you had a point jana. None of these zinasema kwamba "Tanzania italipwa $12 per barrel" instead all sources zinasema "Uganda italipa $12 per barrel kusafirisha mafuta yake through Tanzania"
Swali langu ni nani huyo atakayelipwa hizo hela? Usikute hiyo ni sum total ya transit fees ambayo mwisho wa siku share ya TZ ni ndogo.
Just wondering out loud.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni Tz analipwa ....hio yote ..according to morning news na hilo gazeti na nilvyoeleweshwa jana mapato ya Tz yatakua ni 12usd per barrel
 
Ni Tz analipwa ....hio yote ..according to morning news na hilo gazeti na nilvyoeleweshwa jana mapato ya Tz yatakua ni 12usd per barrel
Achana na magazeti ya kibongo hamna journalism huku wanareport whatever they hear no research.
Read other credible sources utaona.
Kuna ripoti moja nimesoma jana imeandika "Gharama ya kupitisha mafuta Tanzania ni $12 kwa kila pipa"
Em interpret hiyo sentensi vizuri.
I don't think ina maana kwamba UG itailipa TZ hela zote hizo ila it means total of all transit costs ni $12 per barrel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na magazeti ya kibongo hamna journalism huku wanareport whatever they hear no research.
Read other credible sources utaona.
Kuna ripoti moja nimesoma jana imeandika "Gharama ya kupitisha mafuta Tanzania ni $12 kwa kila pipa"
Em interpret hiyo sentensi vizuri.
I don't think ina maana kwamba UG itailipa TZ hela zote hizo ila it means total of all transit costs ni $12 per barrel

Sent using Jamii Forums mobile app

Thats wat i knew at first..na ukizngatia barrel ni kama UsD 50 price yake ..ila nlivyouliza huku ..nkwaambiwa ni 12usd per barrel .Tz tunapokea...so lets wait
 
Thats wat i knew at first..na ukizngatia barrel ni kama UsD 50 price yake ..ila nlivyouliza huku ..nkwaambiwa ni 12usd per barrel .Tz tunapokea...so lets wait
I think hii vagueness sio nzuri.
Check these two statements out:
"According to the project report, the 24-inch diameter pipeline will move 216,000 barrels of oil per day at a cost of about Sh1300 ($12.2) per barrel."
AND
"Tanzania will charge Uganda a tariff/transit fee of Shs40,321 ($12.2) for each barrel of oil going through the crude oil pipeline to Tanga port at the Indian Ocean for exportation to the international market."
Do they mean the same thing?
 
Back
Top Bottom