Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila huu uwanja haukutakiwa uwe mkubwa namna ile na ungejengwa Geita ungekuwa na manufaa zaidi ila hapo Chato sijui! Abiria 200 kwa mwezi uwanja unaoweza ku-accomodate B737 ni wastage ya resources!
Basi tuvunje plan ya kujenga International Airport Dodoma pamoja na Ile ring road, ni wastage of resources sababu Dom hakuna magari mengi kivile kwa sasa
 
Basi tuvunje plan ya kujenga International Airport Dodoma pamoja na Ile ring road, ni wastage of resources sababu Dom hakuna magari mengi kivile kwa sasa
kwahiyo unafananisha Dodoma na Chato! Seriously? kama ushapita Dodoma unaweza kuona ufinyu wa barabara tayari unaonekana! Nyie watu wa huko muache vitimbi..! BTW Unajua watu wangapi wanaingia na kutoka Dodoma airport kwa sasa? Kuna at least 2 daily flights kila siku and the number is growing!
 
My mother is the best cook in the whole world reasoning 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 , yaani chips ya kupikwa kando ya barabara kama mahindi choma na ya vibanda zile ambazo tunaziita "chips mwitu" zimejaa kila kona ya nchi., unajua ni kwa nini wakenya walikashifu KFC kilaza? chunguzeni mambo kabla ya kukurupuka.., mnajiaibisha kila uchao., ona poverty index report mlikimbia nayo bila ya kusoma., jinga type Tanganyikas, watu wa vioja na ushamba, hakuna comedians kama nyie 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Si ni wewe chongchung ulikurupuka tena na list ya top 20 richest people in the small Dar stock exchange bila kuchunguza top 20 in Nairobi stock exchange wako vipi na value yao, wamewaacha hao top 20 ya Dar by far 😂 😂 😂 ., yaani uko hovyo siku zote 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Ninja anaongea story za chips mwitu. 🤣🤣🤣
 
Total wamesema wanatumia Mombasa port kuimport cargo ya Uganda oil industry na kwamba hawatambui Dar port. Hahaha Geza Ulole unakumbuka nilikuambia kwamba Uganda watatumia Mombasa port, wewe ukalia sana kwamba watatumia Dar port. Sasa ona. Kenya kwenye logistics tupo mbali sana na hamuwezi kutufikia.

 
Dooooooooo kumbe hizo ndiyo salary Nugu zinapeana
Sasa kwenye hizo salary za nugu huna TOA PURCHASING POWER KULINGANA NA TZ HIVYO UNAKUTA HIYO SALARY GAWANYA KWA NUSU komora096 na Tony254 jifunzeni kitu kinaitwa 'PURCHASING POWER" ili mjue jinsi tulivyo wazidi mishahara.
Dola moja ya kimarekani tanzania inafanya mambo makubwa zaidi ya mara mbili ya kenya.
Hela ya kenya ina nguvu EA nzima, elfu moja ya kenya ina purchasing power region nzima hii alafu eti uje unitajie tsh mimi..
Tsh nenda nayo burundi hko ndio utatamba
 
Hela ya kenya ina nguvu EA nzima, elfu moja ya kenya ina purchasing power region nzima hii alafu eti uje unitajie tsh mimi..
Tsh nenda nayo burundi hko ndio utatamba
TATIZO UJUI MAANA YA PURCHASING POWER Tony254 njoo uchukue huyu kunguru ukamfuge kibera akuwe na akili ajui purchasing power ni nini ? Licha ya kumsahidia kwa kutumia mlinganyo wa USA dola moja kenya na USA dola moja tz
 
TATIZO UJUI MAANA YA PURCHASING POWER Tony254 njoo uchukue huyu kunguru ukamfuke kibera akuwe na akili ajui purchasing power ni nini ? Licha ya kumsahidia kwa kutumia mlinganyo wa USA dola moja kenya na USA dola moja tz
Unaongelea purchasing power na bei ya maziwa, sukari, unga in Kenya is cheaper than TZ. Hakuna kitu unatuambia hapa, wenzako hapa tuliwaambia walete bei ya unga au sukari wakatoroka wote.
 
My mother is the best cook in the whole world reasoning , yaani chips ya kupikwa kando ya barabara kama mahindi choma na ya vibanda zile ambazo tunaziita "chips mwitu" zimejaa kila kona ya nchi., unajua ni kwa nini wakenya walikashifu KFC kilaza? chunguzeni mambo kabla ya kukurupuka.., mnajiaibisha kila uchao., ona poverty index report mlikimbia nayo bila ya kusoma., jinga type Tanganyikas, watu wa vioja na ushamba, hakuna comedians kama nyie
Si ni wewe chongchung ulikurupuka tena na list ya top 20 richest people in the small Dar stock exchange bila kuchunguza top 20 in Nairobi stock exchange wako vipi na value yao, wamewaacha hao top 20 ya Dar by far ., yaani uko hovyo siku zote
danganyikans are stupid don't mind them
 
Total wamesema wanatumia Mombasa port kuimport cargo ya Uganda oil industry na kwamba hawatambui Dar port. Hahaha Geza Ulole unakumbuka nilikuambia kwamba Uganda watatumia Mombasa port, wewe ukalia sana kwamba watatumia Dar port. Sasa ona. Kenya kwenye logistics tupo mbali sana na hamuwezi kutufikia.


Wanaangalia urahisi kwao,lakini goods destined for Tzn watatumia Dar port .
 
danganyikans are stupid don't mind them
Ni low self esteem, hawataki kujikubali walivyo, ni wivu wa kitoto inasumbua wengi., anyway it's fun, I hardly take many here serious., Wako na blind patriotism.
 
kwahiyo unafananisha Dodoma na Chato! Seriously? kama ushapita Dodoma unaweza kuona ufinyu wa barabara tayari unaonekana! Nyie watu wa huko muache vitimbi..! BTW Unajua watu wangapi wanaingia na kutoka Dodoma airport kwa sasa? Kuna at least 2 daily flights kila siku and the number is growing!
Hata huko Chato umeambiwa the number is growing
 
TATIZO UJUI MAANA YA PURCHASING POWER Tony254 njoo uchukue huyu kunguru ukamfuke kibera akuwe na akili ajui purchasing power ni nini ? Licha ya kumsahidia kwa kutumia mlinganyo wa USA dola moja kenya na USA dola moja tz
Bwahaha!!dola moja ina purchasing power kubwa kote kote kenya na tanzania na vile vile ksh ina purchasing power kote EA
 
Unaongelea purchasing power na bei ya maziwa, sukari, unga in Kenya is cheaper than TZ. Hakuna kitu unatuambia hapa, wenzako hapa tuliwaambia walete bei ya unga au sukari wakatoroka wote.
Anabisha km ksh ina purchasing power kubwa EA
 
Back
Top Bottom