Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Basi tuvunje plan ya kujenga International Airport Dodoma pamoja na Ile ring road, ni wastage of resources sababu Dom hakuna magari mengi kivile kwa sasaIla huu uwanja haukutakiwa uwe mkubwa namna ile na ungejengwa Geita ungekuwa na manufaa zaidi ila hapo Chato sijui! Abiria 200 kwa mwezi uwanja unaoweza ku-accomodate B737 ni wastage ya resources!


