Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Indigo beach resort znz tz
FB_IMG_1501954476747.jpg
FB_IMG_1501954478974.jpg
FB_IMG_1501954481343.jpg
 
5.6 bn X 365days = 2244billions per year mkuu,
Hahahahahaha
Convert this figure into Ksh..
View attachment 558906
Tukikusanya huu mpunga wa mafuta na bomba la waganda kwa miaka mitano tutajenga electrified SGR nyininge Dar to Mbeya.
Dadeq. Sometimes you don't have to work hard like Donkeys, only you have to be smart.
Pigo kubwa sana tena sana kwa wakenya😀
 
5.6 bn X 365days = 2244billions per year mkuu,
Hahahahahaha
Convert this figure into Ksh..
View attachment 558906
Tukikusanya huu mpunga wa mafuta na bomba la waganda kwa miaka mitano tutajenga electrified SGR nyininge Dar to Mbeya.
Dadeq. Sometimes you don't have to work hard like Donkeys, only you have to be smart.
hiyo si fedha ya kitoto....wakenya wanakodoa kodoooo.
 
Mkuu hyo hela yote haiwez kwenda Tz ..dola 12.5 ni nying ukizngatia price per barrel ni kama dola 50 ..so tunaeza tukala labda hata 0.1usd to 1usd per barrel ...sema sio mbaya cause Tz inatoa ardhi tu ..ni kama hela ya bure ..hata hvyo ni nyng ..ukichukua 0.1 mara 200,000 ni kama dola 20,000kwa cku bado ni pesa ndefu ..ukizngatia Tz haifanyi kazi yoyote ile
Hivi wewe umesikiliza hotuba vizuri unaposema sio $12 Ingia YouTube usikilize hotuba ya Museveni vizuri. Kasema kwa sasa pipa moja ni $50 kutokana nakushuka bei ya mafuta, TZ mmetusaidia kutoa jumla ya kodi tatu kwa hiyo tutakuwa tukilipa $12 kwa pipa. Hiyo aijalishi bei imepanda au imeshuka. Kwa barrel ni $12 ya TZ hizo point zako niza bibi yako asiyeipenda maendeleo TZ. Hivi wewe ulisikiliza uzinduzi wa bomba la Dawasco??
 
Hivi wewe umesikiliza hotuba vizuri unaposema sio $12 Ingia YouTube usikilize hotuba ya Museveni vizuri. Kasema kwa sasa pipa moja ni $50 kutokana nakusha bei ya mafuta, TZ mmetusaidia kutoa jumla ya kodi tatu kwa hiyo tutakuwa tukilipa $12 kwa pipa. Hiyo aijalishi bei imepanda au imeshuka. Kwa barrel ni $12 ya TZ hizo point zako niza bibi yako asiyeipenda maendeleo ya TZ. Hivi wewe ulisikiliza uzinduzi wa bombs la Dawasco??

Ckikiza muliasa ..hata mm napenda Tz ipate pesa nyng sana ..in some point inabid uwe realstic ...barrel ni dola 50 ..wakulipe wewe dola 12 1/3 ya pesa ya barrel ..kwa kipi ulichochangia ..kumbuka hayo mafuta yana chimbwa na kampuni tatu ndo unataka wagawane hizo pesa au ..bado hujalipia usafir wa meli ..vitu vingine tumia akili tu ..hatuez lipwa dola 12 kwa barrel na wakat barrel ni dola 50 ..ukizngatia ..tumetoa ardhi tu
 
Ckikiza muliasa ..hata mm napenda Tz ipate pesa nyng sana ..in some point inabid uwe realstic ...barrel ni dola 50 ..wakulipe wewe dola 12 1/3 ya pesa ya barrel ..kwa kipi ulichochangia ..kumbuka hayo mafuta yana chimbwa na kampuni tatu ndo unataka wagawane hizo pesa au ..bado hujalipia usafir wa meli ..vitu vingine tumia akili tu ..hatuez lipwa dola 12 kwa barrel na wakat barrel ni dola 50 ..ukizngatia ..tumetoa ardhi tu
It's $12 per barrel hilo lilisemwa sana mbona na magazeti yashaandika since kitambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa mwaka kuna trilioni mbili tshs halafu kuna watu wale wa kupinga wanasema halina faida, yaani sielewi akili za watu wengine zikoje.
 
It's $12 per barrel hilo lilisemwa sana mbona na magazeti yashaandika since kitambo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Yes thats overall transporation cost ambayo itagawanywa...anyways haya tusubir hyo 12.5usd ..na wakati barrel price ni 50usd..total hawa watulipe hizo..bilion 6 kwa cku ..biliioni 180 kwa mwezi ..tsh trioloni 2.16 kwa mwaka ..na bomba limejengwa kwa. Trilion 8 ..reasoning naona inakua ngumu kwa Wa sisi Wa Tz ...
 
Ckikiza muliasa ..hata mm napenda Tz ipate pesa nyng sana ..in some point inabid uwe realstic ...barrel ni dola 50 ..wakulipe wewe dola 12 1/3 ya pesa ya barrel ..kwa kipi ulichochangia ..kumbuka hayo mafuta yana chimbwa na kampuni tatu ndo unataka wagawane hizo pesa au ..bado hujalipia usafir wa meli ..vitu vingine tumia akili tu ..hatuez lipwa dola 12 kwa barrel na wakat barrel ni dola 50 ..ukizngatia ..tumetoa ardhi tu
siyo ardhi tu, na ulinzi pia kijana.
 
Ckikiza muliasa ..hata mm napenda Tz ipate pesa nyng sana ..in some point inabid uwe realstic ...barrel ni dola 50 ..wakulipe wewe dola 12 1/3 ya pesa ya barrel ..kwa kipi ulichochangia ..kumbuka hayo mafuta yana chimbwa na kampuni tatu ndo unataka wagawane hizo pesa au ..bado hujalipia usafir wa meli ..vitu vingine tumia akili tu ..hatuez lipwa dola 12 kwa barrel na wakat barrel ni dola 50 ..ukizngatia ..tumetoa ardhi tu
Kumbe bro wewe huna information kabisa 12$ is per barrel ambayo ni kodi kwa tanzania...ardhi ni mali kaka na sio ardhi tu tumetoa na bandari ambayo itakusanya kodi pia na umeme pia kwa ajil ya pumps etc
 
Waliko kimbilia leo hapajulikani. Wametuachia thread. Watakuja kesho kwa kunyatia. Kwa sasa wanachungulia.
images-18.jpeg

downloadfile-55.jpeg
 
Yes thats overall transporation cost ambayo itagawanywa...anyways haya tusubir hyo 12.5usd ..na wakati barrel price ni 50usd..total hawa watulipe hizo..bilion 6 kwa cku ..biliioni 180 kwa mwezi ..tsh trioloni 2.16 kwa mwaka ..na bomba limejengwa kwa. Trilion 8 ..reasoning naona inakua ngumu kwa Wa sisi Wa Tz ...
You might have a point though..... I'm no expert.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe bro wewe huna information kabisa 12$ is per barrel ambayo ni kodi kwa tanzania...ardhi ni mali kaka na sio ardhi tu tumetoa na bandari ambayo itakusanya kodi pia na umeme pia kwa ajil ya pumps etc

Wewe umenielezea vzur ..kama na umeme na ardhi na banadari zote ni ndani ya hyo sawa then 12.5usd it is ...lets wait for our triliion 2.16 at end of every year ..this thing is so profitable
 
Wewe umenielezea vzur ..kama na umeme na ardhi na banadari zote ni ndani ya hyo sawa then 12.5usd it is ...lets wait for our triliion 2.16 at end of every year ..this thing is so profitable
Umeme na bandari ziko nje kabisa ya 12$
Yani 12$ ni kodi ya ardhi ya kupitisha hilo bomba
Ambayo kila barrel itakayopita italipiwa 12$
 
Wewe umenielezea vzur ..kama na umeme na ardhi na banadari zote ni ndani ya hyo sawa then 12.5usd it is ...lets wait for our triliion 2.16 at end of every year ..this thing is so profitable
Tena sana we huoni wakenya walihangaika sana kuhusu hio project mpaka machozi yaliwatoka
Kumbuka bandari itaingiza ushuru, tanesco watakusanya pesa ya umeme na TRA itakusanya kodi ya 2.16 trillion per year
 
Back
Top Bottom