Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

inategemea na umbali wa Nairobi na ushago kwenu.

kama wewe ushago kwenu ni nyeri au murang'a,huna sababu ya kuikimbia Nairobi nyakati za uchaguzi.

watu wanaoimbia Nairobi ni wale ambao umbali wa kwao na Nairobi ni mkubwa.

jamaa zangu wa coast wanaoishi nairobi,wote wamerejea makwao mashinani kwenda kupiga kura.


either way kura za Nairobi huwa half half since time immemorial.
 
Tz govt will be making some good revenues

b6fcc59082734c3b50b6606f112e884a.jpg


12.5 usd kwa pipa moja ..na nackia bomba linauwezo wakusafirisha hadi mapipa laki 2 kwa cku
 
Tz govt will be making some good revenues

b6fcc59082734c3b50b6606f112e884a.jpg


12.5 usd kwa pipa moja ..na nackia bomba linauwezo wakusafirisha hadi mapipa laki 2 kwa cku
vipi nyingi au ndogo?...mdau.
kwa hesabu za haraka haraka hii ni sawa na usd2502024 per day.
 
vipi nyingi au ndogo?...mdau.

Mm naona nying ..ukizngatia mafuta c yetu ..yanapita tu ..hata hayaongezi joto wala baridi..na pia yana create opportunity so mimi naona ni sawa kupata biliioni kama 6 kwa mapipa laki mbili c mchezo
 
Mm naona nying ..ukizngatia mafuta c yetu ..yanapita tu ..hata hayaongezi joto wala baridi..na pia yana create opportunity so mimi naona ni sawa kupata biliioni kama 6 kwa mapipa laki mbili c mchezo
kwa hesabu za haraka haraka,kwa siku tutakuwa tunapiga usd 2502024.
 
I
vipi nyingi au ndogo?...mdau.
kwa hesabu za haraka haraka hii ni sawa na usd2502024 per day.
Ikiwa ni mapipa lako mbili kwa siku. Tutaingiza 5.6 Billion kwa siku. Hapo bado hatuja toza meli. Hii pesa sio mchezo. Ndo maana Uhuru aliangaika sana hadi kwenda total uko Ufaransa.
 
mapipa 200000 kwa siku x 28000 =
tsh 5600000000.

344621232bf37ec4212d903326a9403b.jpg
677e2a52ed17bf320f0e3493580b1f93.jpg



Sema nini Tz yote haiwez ikala pesa yote hii itagawanywa gawanywa tz tutakula kama dola moja..sema cio mbaya ..maana price per barrel ni dola 50 hiv..hatuez kula dola 12 zote cc
 
Sema nini Tz yote haiwez ikala pesa yote hii itagawanywa gawanywa tz tutakula kama dola moja..sema cio mbaya ..maana price per barrel ni dola 50 hiv..hatuez kula dola 12 zote cc
nilikuwa tu naangazia general figures tz itaingiza per day.

hilo la kugawanywa linajulikana hata kama lingepita kwa majirani,bado pesa zigegawanywa tu.
 
nilikuwa tu naangazia general figures tz itaingiza per day.

hilo la kugawanywa linajulikana hata kama lingepita kwa majirani,bado pesa zigegawanywa tu.
Hapo tumepiga kwa siku je kwa mwaka vipi!?
 
Hapo tumepiga kwa siku je kwa mwaka vipi!?

Mkuu hyo hela yote haiwez kwenda Tz ..dola 12.5 ni nying ukizngatia price per barrel ni kama dola 50 ..so tunaeza tukala labda hata 0.1usd to 1usd per barrel ...sema sio mbaya cause Tz inatoa ardhi tu ..ni kama hela ya bure ..hata hvyo ni nyng ..ukichukua 0.1 mara 200,000 ni kama dola 20,000kwa cku bado ni pesa ndefu ..ukizngatia Tz haifanyi kazi yoyote ile
 
nilikuwa tu naangazia general figures tz itaingiza per day.

hilo la kugawanywa linajulikana hata kama lingepita kwa majirani,bado pesa zigegawanywa tu.
5.6 bn X 365days = 2244billions per year mkuu,
Hahahahahaha
Convert this figure into Ksh..
IMG_20170805_200143_650.JPG

Tukikusanya huu mpunga wa mafuta na bomba la waganda kwa miaka mitano tutajenga electrified SGR nyininge Dar to Mbeya.
Dadeq. Sometimes you don't have to work hard like Donkeys, only you have to be smart.
 
Back
Top Bottom