Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar Kama Dar
IMG_8814.jpg
 
Kenya 60% ya watumishi serikalini wanapata chini ya Kshs 30K, ndio sababu mnakufa kwa njaa.
I am sure if this purpoted list is something to go by.......tanganyika is worse as always......Bring me the updated salary scale of civil servants in Kenya and tanganyika then I'll listen to your machinations
 
Samia pesa katoa wapi za kuipa NHC? Huu upuuzi wa media kusema president katoa pesa ni ujinga tunaoukumbatia miaka nenda rudi, huu ni ujinga.

Zingatia kwamba sijasema wewe Geza ndio mjinga bali nimesema media ndio zina huu ujinga ambao nmekuwa nikiukataa miaka mingi wa kusema eti Rais ndio katoa pesa badala ya serikali ya Rais.... Ndio imetoa pesa. Unajua impact ya huu upumbavu unaokumbatiwa na media ni kubwa sana, na ndiyo inatengeneza dictatorship kind of rulling.
Wivu, 😆😆😆😆, kwani alizowapa mkuu wa Mkoa wa Dar kujenga masoko ya Jangwani alizitoa wapi?

Mume wenu mwendazake alioanzisha huo utaratibu mlikuwa wapi kumuuliza alikozitoa pesa? Kwa nini hamkumwambia kwamba ni Serikali inatoa sio yeye ila saizi mnawashwa washwa?..

Kwa taarifa yenu, serikali saizi ina pesa kama zote Kwa sababu sekta zote za Uchumi zinafanya vizuri..

Tulieni dawa iwaingie nyie sukuma gang.
 
I am sure if this purpoted list is something to go by.......tanganyika is worse as always......Bring me the updated salary scale of civil servants in Kenya and tanganyika then I'll listen to your machinations
Mtanzania alipwe 500k bado anatoboa tena atafanya maendeleo sababu gharama za maisha Tanzania ni cheapest in Africa, sio kunyaland

Ghanaian confessing that

 
Maelezo ni on average abiria 250 mpaka 300 means ni wastani wa abiria 37 kwenye kila flight inayoenda Chato, ndogo hiyo kwenye plane capacity ya 70 passengers?

Naona unapost update za kiwanja cha Arusha, Mtwara, Dodoma, Musoma, Tabora, Mwanza na vinginevyo vilivyojengwa chini ya kipindi cha JPM, kwanini havikuumi kama hiki cha Chato kinavyokuuma?

Kwanini we mzanzibari una gubu sana na Magufuli? Alikuchukulia mke nini?
Rubbish
 
Nimesikitishwa sana na uingizwaji wa company ya kigeni kwenye masuala ya kisheria katika majadiliano baina ya serikali na Makampuni ya gas kwenye mradi wa LNG

Lakini mara ya mwisho hawa Watanzania wenzetu ndio walikua wanashughulika na mambo yote ya kisheria kwenye huu mchakato, what happened? 🤔

View attachment 2097424
Hukusikitishwa na wizi wa til.1.5 uje kusikitishwa na kampuni ya kisheria, pumbavu sana.
 
Back
Top Bottom