Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yes, we do have industries.. . Tunatengeza nguo and we export them to US .. usilie lakini, nyie endeleeni kuingiza mitumba kutoka ulaya
Ok
Screenshot_20220127-213419_Opera.jpg
 
Bado umeshindwa kujibu ni sekta gani ya kiserekali twende sai..
Taja mzee

Kwa Tz watu wanaenjoy good salaries kwenye mashirika ya Umma Kama TPDC, Vyuo Vikuu kama UDSM, UDOM, SUA, MZUMBE etc,
Na mashirika mengine ya Umma Kama vile TANESCO, NSSF and other Pension Funds, NHIF, TBS, TRA, TANAPA, NIMRI, TALIRI, DAWASA, NHC, TTCL, MSD, TRC, EWURA, NEMC etc
Kwenye haya mashirika ya serikali a hraduate starts with a basic of 1000$ plus all other benefits, allowances etc and all the opportunities at the workplace,
Kumbuka pia life hapa bongo lipo chini sababu ya serikali kuwajibika,
Means same house you will build in Kunya for a $100K you can build at $50k in Tz
 
I am sure if this purpoted list is something to go by.......tanganyika is worse as always......Bring me the updated salary scale of civil servants in Kenya and tanganyika then I'll listen to your machinations
Wakileta nitag jomba, yani sai wamebaki kujiliwaza tu lkn bado wanajifanya ili waonekaniwe
 
Yes, we do have industries.. . Tunatengeza nguo and we export them to US .. usilie lakini, nyie endeleeni kuingiza mitumba kutoka ulaya 😂😂😂

We have so many textile industries that your country cannot even dream to have. So that one sewing school isikudanganye.
 
Mwalimu gani huyo anakula laki na nusu ?

hii laki na nusu ni mishahara ya mwisho kbsa (kima cha chini) kwa sisi wamiliki (family’s company) wa kampuni za ulinzi kulipa walinzi kisheria..
so hakuna mlinzi anaelipwa chini ya laki na nusu Tanzania nzima kisheria.. sasa kumfumbua macho jamaa ni kuwa walimu sio sawa na walinzi
 
Tuliharibiwa biashara na uchumi miaka 6 iliyopita,Nawapa miaka 3 mtaona tutakofika..
Na bado uko hapa kunadi miradi ya awamu iliyopita, hakuna jambo jipya lililoanzishwa awamu hii hata moja, Watz leo hii tunawatambia Wakenya kwa juhudi za awamu iliyopita kama una kende weka hapa mradi wa awamu ya sita
 
Back
Top Bottom