Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wami Bridge.

IMG_4248.jpg

IMG_4247.jpg
 
all Tanzania leaders seeks special medication treatment in Nairobi and Europe whenever they're unwell and here is a poor mwananchi like you supporting such abomination 🖕🖕🖕
Why ar you so bitter like that.? Hupendi kuskia habari mbaya kutoka kwenu.? Kwamba unataka ku act like mko vizur while kwa ground watu hawana huduma nzuri za Afya.?
 
huaga inasemwagwa, 'the very best views of mt kilimanjaro are only captured from the amboseli national park- NatGeo2020' 😆View attachment 2097350
😂😂😂 Nyie jamaa mnachekesha sana, sasa hili suala kili kuonekana vizur Kenya 😂😂 Ina msaada gani kwenu.? Yani ndio kwamba watalii watapanda kili wakiwa uko kwenu au.? Au inawaingizia hela.? 😂😂
 



MY TAKE
Duh abiria 200 kwa mwezi! Aisee roho inahuma...

Maelezo ni on average abiria 250 mpaka 300 means ni wastani wa abiria 37 kwenye kila flight inayoenda Chato, ndogo hiyo kwenye plane capacity ya 70 passengers?

Naona unapost update za kiwanja cha Arusha, Mtwara, Dodoma, Musoma, Tabora, Mwanza na vinginevyo vilivyojengwa chini ya kipindi cha JPM, kwanini havikuumi kama hiki cha Chato kinavyokuuma?

Kwanini we mzanzibari una gubu sana na Magufuli? Alikuchukulia mke nini?
 



MY TAKE
Duh abiria 200 kwa mwezi! Aisee roho inahuma...

Malengo ya huo mradi yapo clear kabisa, na huo Uwanja usipofanya vizur leo utafanya vizur kesho, uwanja wa ndege hauozi, kuna mbuga ya wanyama Burigi na mji unakua huo, heb fanya ufike ujionee mwenyewe mana huenda unaishia tu kuona kwenye videos na kuskia maneno ya watu, u better go and witness by yourself.
 
Malengo ya huo mradi yapo clear kabisa, na huo Uwanja usipofanya vizur leo utafanya vizur kesho, uwanja wa ndege hauozi, kuna mbuga ya wanyama Burigi na mji unakua huo, heb fanya ufike ujionee mwenyewe mana huenda unaishia tu kuona kwenye videos na kuskia maneno ya watu, u better go and witness by yourself.
Ukisikia Maelezo wanasema TANAPA na wengine wanatumia sana huo uwanja, ajiulize helipad Kikwete alioijenga msoga ina msaada gani saivi kwa Taifa na Mpanda airport ya Mizengo ikilinganishwa na Chato, hiki kizee cha kipemba kina mambo ya kimama mno.
 
😂😂😂😂 Ni vizee vya kipemba tu vina mambo ya kike hivyo mkuu, kizee hiki right hemisphere ya brain yake imekufa tayari 😅😅😅😅
Pemba siku si nyingi na wenyewe watapata international Airport sasa we mpemba Geza Ulole uje utudadavulie hivi hivi feasibility ya huu uwanja huko kwenu.
 
😂😂😂 Nyie jamaa mnachekesha sana, sasa hili suala kili kuonekana vizur Kenya 😂😂 Ina msaada gani kwenu.? Yani ndio kwamba watalii watapanda kili wakiwa uko kwenu au.? Au inawaingizia hela.? 😂😂
to view and take photos of animals and the mountain alone is enough to draw tourists from far and wide
 
Nimesikitishwa sana na uingizwaji wa company ya kigeni kwenye masuala ya kisheria katika majadiliano baina ya serikali na Makampuni ya gas kwenye mradi wa LNG

Lakini mara ya mwisho hawa Watanzania wenzetu ndio walikua wanashughulika na mambo yote ya kisheria kwenye huu mchakato, what happened? 🤔

2022-1-27_16-34-11.PNG
 
Malengo ya huo mradi yapo clear kabisa, na huo Uwanja usipofanya vizur leo utafanya vizur kesho, uwanja wa ndege hauozi, kuna mbuga ya wanyama Burigi na mji unakua huo, heb fanya ufike ujionee mwenyewe mana huenda unaishia tu kuona kwenye videos na kuskia maneno ya watu, u better go and witness by yourself.
Aaawapii, labda ungejengwa Geita ungekuwa na maana zaidi! Huu uwanja utaozea pale chini!
 
Why ar you so bitter like that.? Hupendi kuskia habari mbaya kutoka kwenu.? Kwamba unataka ku act like mko vizur while kwa ground watu hawana huduma nzuri za Afya.?
since when did saying the truth become bitterness jameni😀😀😀if your so called leaders do not trust your health system, how can unknown mogul like you convince us that it is better off?
 
Back
Top Bottom