Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
😂😂😂 Wako hapa kupigazana na sisi, mipuuzi sana hii mijamaaNairobi hiyo mkuu, over 90% inakaa hivyo.
Kwa ss wana shida ya maji, hapo ndio wadada wabeba mandoo kutafuta maji, hayo ni maji ya kisima![]()


