Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

BRT ni system sio barabara tu manzee kama unavyodhania, BRT ni modern system of transportation, yani unapaswa kuheshimu BRT kuliko chochote..
Yamekufikaee, naona umekurupuka nkm hukuelewa km umeulizwa nini..
Pole sana
 
Arguing with tanzanians is fruitless......if you are contented with such standards then who are we to disturb you .
2209122_Screenshot_20191110-193507.jpg
2209114_tapatalk_1567199234954.jpg
 
Alafu wanakataa hakuna maghorofa ya udongo View attachment 2096451
Hzo ni blocks mzee, sema watu wa upcountry bado wana upuuzi wa kutopiga palasta na rangi kw nje ambayo hyo ni hatari sana kufanya jiwe likinyeshewa linanyonya maji tofauti na palasta/rangi kukinyesha maji hutelezeshwa km sijakosea..

Hzo tamaduni zao mi usione huniboa sana....
 
Back
Top Bottom