Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Je mlichowekeza kinaendana na shida iliyopo?
Inaonekana hamkuwekeza ipasavyo ktk kilimo cha umwagiliaji.
Pia mlitakiwa muhakikishe kila palipo na makazi ya watu mnachimba visima virefu vya maji.
Nikutolee mfano Dodoma ni miongoni mwa mikoa yenye ukame yani (semi arid)
Lakini serikali imehakikisha kila penye makazi ya watu visima virefu vinachimbwa vya maji safi.
chrome_screenshot_1643124853566.png

Well the same has been happening in Turkana.



 
Ona kondoo 😂😂. So basically your government is so incompetent that it doesn't have a solution to a drought that comes and goes but your tiny brain thinks our government is worse because it can't turn an actual desert into a forest? 😂😂😂😂.
Sidhani kama Unaakili timamu wewe nimekudharau 😂😂😂
 
Pale Karume pasijengwe soko bali ijengwe bus stop, plan gani hizi? Unajengaje soko karume wkt kuna traffic lights? Lkn pia pale Karume c kuna Machinga complex? Mbn wanataka kutengeneza msongamano usiokuwa wa lazima?
Daladala za kutokea Buza, gongo la Mboto, kigamboni n.k hazina mahali pa kuegesha zimekuwa zikibanana pale machinga complex wkt sehemu kubwa ipo pale Karume. Wajenge bus stand pale.
 
Hahahaha bro 300 to 200 acres of irrigation in Tanzania is kind of household business 🤣🤣🤣🤣🤣

Hivi hujisikii aibu?
Unataka nikuletee real irrigation schemes?
Those are only two examples 🤦🏽‍♂️. There are multiple irrigation projects ongoing in Turkana
 
Black pearl lounge and Grill Kisumu City
black_pearl_lounge_and_grill~p~CWOl9smoI1u~5.jpg
black_pearl_lounge_and_grill~p~CWOl9smoI1u~7.jpg
black_pearl_lounge_and_grill~p~CWOl9smoI1u~1.jpg
black_pearl_lounge_and_grill~p~CWOl9smoI1u~8.jpg
FB_IMG_1643130395094.jpg
FB_IMG_1643128332765.jpg
FB_IMG_1643128311066.jpg
FB_IMG_1643128307283.jpg
FB_IMG_1643128259781.jpg
FB_IMG_1643128249117.jpg
FB_IMG_1643128264296.jpg
FB_IMG_1643128255551.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1643128259781.jpg
    FB_IMG_1643128259781.jpg
    82.5 KB · Views: 14
Back
Top Bottom