Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawaijui Kenya
Screenshot_20220121-191931.jpg
 
Mm nilivaa ya blue, nadhani ww ulikuwa mbele yng kwa darasa moja enzi zile za Kwayu cjui tunaelewana
Nakuelewa... Ila kama umemkuta Kwayu basi wewe ulikuwa Senior kwangu, wakati naingia Kwayu ndo alipelekwa Ilboru kama sijakosea
 
Speaking of twitter, your fellow Tanzanians out there reminding you of the reality 😂😂😂😂


Ukweli usemwe Umeme kwasasa Tanzani Tumerudi Nyuma Hatua Milioni kumi
ndani ya miezi hii 10 Tangu kifo cha JPM
Umeme Unakatika kwa siku hata mara20
Yaani ni hovyo hovyo sana Hali nimbaya mno
kunamuda unawaza Hii nchi inawatu wenye Kujari Maisha ya Wengine Hivi Nchi hii Miaka 60+
suala la Umeme Bado linakuwa Hisani ya Kiongozi au Viongozi fulani kuamua
 
hapa kuna picha imenijia, hao OIA watajiondoa bagamoyo port na kuelekeza mzigo Malindi Port ya Zanzibar, ndo mana hadi Rais wa Zanzibar kaenda huko..
Bora waenda huku Bara kumejaa watu wenye maneno meeengi Sana,fitina na usushi badala ya Kazi.
 
Umeme kwasasa Tanzani Tumerudi Nyuma Hatua Milioni kumi
ndani ya miezi hii 10 Tangu kifo cha JPM
Umeme Unakatika kwa siku hata mara20
Yaani ni hovyo hovyo sana
Tutazoea tuu 😅😅 ila acha tungojee jnhp iishe wakose visingizio vya kukata umeme
 
Back
Top Bottom