Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwenye SGR ligi yetu China kwa ss
Screenshot_20220121-172314.jpg
Screenshot_20220121-172324.jpg
 
huyu jamaa kila siku analeta hoja dhaifu.. na bado tunamnyuka..

map ya muhimbili haijakamilika kuonyesha muhimbil yote.. kushoto ya muhimbili hakuna majengo yoyote zaid ya mto.. ambapo jengo la mwisho kwenye huo upande ni la New MOI building.. kwenye picha yako halipo..
jengo lenyewe hili hapa
View attachment 2090472

boundary ya hospitali yote ya Muhimbili ni hii hapa..
haya rudia tena screenshoot yako kwa scale ileile tuone kama unapata majengo/boundary yote ya muhimbili

(yani hata kwa scale yangu kwenye hii screenshoot yangu, muhimbili imejaza screen yote)
View attachment 2090477
Na Campus ya Mloganzila?
 
hapa kuna picha imenijia, hao OIA watajiondoa bagamoyo port na kuelekeza mzigo Malindi Port ya Zanzibar, ndo mana hadi Rais wa Zanzibar kaenda huko..

Aah hawawezi na hata kama wakijiondoa hawawez kuwekeza mzigo mkubwa kama walivyokua wamepanga kwa bagamoyo
 
Na wewe umesoma ukaelewa project vizuri?.., na pia umesoma nilicho andika na kuelewa ama unakurupuka tu? maana ya ku focus Kenya kwa wingi ama kwa upana ni nini?.., another kilaza, shirikisha ubongo kabla ya ku type 😂 😂 😂 😂 😂
Wakunya tafuteni plan B kwani plan A mmeshindwa ktk Project ya Lapsset
 
Back
Top Bottom