Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani ulichoambiwa ni uongo kijana.? 👇😂😂😂 Hapa ndio mnatuongozea EAView attachment 2089638
Tunawaongoza kwa almost kila kitu, mazuri karibia yote na mabaya pia.., ni ushirikina, uchawi, umbeya(domo domo) na ufukara wa kutupwa ndio mnatupiku 😂 😂 😂 😂 , kwa mambo ya giza nyie hamna mpinzani Africa, maybe Nigeria mnaeza keti nao meza moja 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Sasa hio $500 million unayosema mnahitaji tu pesa zenu za ndani mtaitoa wapi wakati mnakopa kukamilisha SGR na JNHPP? Hehe huwa mnachekesha sana. Hamna pesa za ndani nyie, mama keshasema lazima mkope kukamilisha miradi mlizoanzisha, sasa mnataka kuanzisha tena miradi mingine ya kujenga stadia za Afcon. Pesa za ndani hamna lazima mkope tu. Halafu Afcon yenyewe licha ya nyie kuwa host country na kupewa automatic qualification bado mtapigwa na kuondolewa katika raundi ya kwanza licha ya kupoteza pesa kujenga stadia zote hizo.
leta ushahidi kua JNHPP tumekopa 😂😂 mushaanza kuchanganyikiwa na kwani hujui phase one three and five ni pesa za ndani kwenye SGR pesa tumekopa ni ya phase two na tena si yote 30% imetoka ndani au hilo pia hujui 😂😂 kila siku muelekezwe jambo moja mpaka lini sasa
 


Oman’s OIA inks pact to study feasibility of Malindi Port development

Amirtha P SJanuary 21, 2022
Fri, 21 Jan, 2022 By Amirtha P S, Desk Reporter
  • Follow author on
Zanzibar Representational Image

Oman Investment Authority (OIA), the sovereign wealth fund of the Sultanate, has signed a Memorandum of Understanding (MoU) with the Government of the Tanzanian island, Zanzibar, to study the feasibility of a project to rehabilitate, develop and operate the Malindi Tourist Port in Kenya (supposed to read malindi in Zanzibar).

Further, the MoU will explore the possible development of the waterfront and the transfer of commercial activities from the current port to the new port of Mangapwani in Tanzania. The initiative is part of OIA’s vision to diversify its global investment portfolio and support promising investments in strategic sectors.

In line with the agreement, OIA will also examine plans for a new commercial and industrial port project that includes all basic facilities in the Mangapwani suburb of Zanzibar Island, which is about 25 km from the current port of Malindi.

The proposed commercial and industrial port will include a jetty for cargo, warehousing and storage facility, and dedicated facilities for the processing and storage of fish for export. The project will cover an area of 3 million square meters in the first phase, with a further 1.5 million square meters added in the second phase.

The MoU will also study the redevelopment of the old port of Malindi and its associated facilities. Constructed in 1920, it currently serves as the main gateway for the handling of imports and exports to and from the island.

By developing a tourist port and passenger terminal on a 10-hectare site, the modernized tourism port will hold a key position in facilitating safe passenger transportation to and from the island in line with maritime safety requirements.

Oman’s OIA inks pact to study feasibility of Malindi Port development - GCC Business News
 
leta ushahidi kua JNHPP tumekopa mushaanza kuchanganyikiwa na kwani hujui phase one three and five ni pesa za ndani kwenye SGR pesa tumekopa ni ya phase two na tena si yote 30% imetoka ndani au hilo pia hujui kila siku muelekezwe jambo moja mpaka lini sasa
Hao wanashangaa kuona GDP kubwa inashindwa na GDP ndogo, hawaelewi wamechanganyikiwa
 
Mimi hakuna kitu mtz anaweza kuniambia,,,kama vile baba levo alisema itawachukua tz miaka kama 25 kutufikia kenya ....Yaani in todays world 2022 nchi nzima inaogopa
1. east african community
2. inaogopa masks
3. inaogopa vaccine
4. wanaogopa mikopo
5. wanaogopa kizungu
6. wanaogopa foreighners kufanya kazi kwao

Sasa watu kama hawa watasaidiwa aje...yaani mtanzania hujiona mwerevu sana mbele ya macho yake...kwa kuchukua tahadhari amabazo hazina maana yoyote, ni uoga wa kipuzi mno... what the learned call { the fear of the unknown}... na wakiendelea na mtindo huu hata uganda itawapita kwa uchumi na mambo mengine.
Tanzanians love status quo. Hawataki kufikiria..hawataki kujaribu..hawataki mashirikiano na nchi jirani..Yaani kila kitu kina hatari kwao.
Nchi yao iko na great potential but ni masikini ajabu..wana kila sababu ya kuwa east and central africa giants kama kenya ..but the only giant they have ni nchi kubwa na kuzaana kwa wingi..mengine hamna.
Nawahurumia sana hawa jamaa..kwanza nikiona wakisema ooh barakoa zina sumu hahaha mara chanjo zitatumaliza...hivi nyinyi wanatanzania where is your wisdom dear Tanzanians.
unaongea emotion zako,

wacha kujidanganya kwa fikra dhaifu
 

Oman Investment Authority signs MoU with Zanzibar​

Oman Thursday 20/January/2022 17:53 PM

By: Times News Service
Oman Investment Authority signs MoU with Zanzibar



Muscat: The Oman Investment Authority has signed a memorandum of understanding with the Zanzibar government to study the feasibility of a project to rehabilitate, develop and operate the Malindi Tourist Port.

“The Oman Investment Authority signed a memorandum of understanding with the Zanzibar government, according to which the authority and its subsidiaries will study the feasibility of a project to rehabilitate, develop and operate the Malindi Tourist Port and develop the waterfront, as well as transfer commercial activities from the current port to the new Mangga Pwani port,” Oman News Agency, ONA, said.

Sami bin Abdullah Al Sinani, Senior Director of Logistics and Infrastructure Services at the Oman Investment Authority, said in a statement to the Oman News Agency that the memorandum of understanding aims to maximize the Sultanate of Oman’s benefit from the Belt and Road Initiative, which passes through a group of ports in Asia and Africa, and to build on the historical Omani relations with East Africa, one of the economically promising regions.

He added that the memorandum holds investment opportunities that will contribute to the transfer of expertise available to the Agency and its subsidiaries in order to expand the management of international projects, and to enter into partnerships with investors and international companies that have expertise that can be benefited from by transferring expertise to the projects of the affiliated companies locally.

 
Tunawaongoza kwa almost kila kitu, mazuri karibia yote na mabaya pia.., ni ushirikina, uchawi, umbeya(domo domo) na ufukara wa kutupwa ndio mnatupiku , kwa mambo ya giza nyie hamna mpinzani Africa, maybe Nigeria mnaeza keti nao meza moja
Tanzania inaongoza katika
1)Amani, umoja na mshikamano
2)Uzalishaji wa chakula
3)Kilimo cha umwagiliaji
4)Hospital Bora/Best health system
5)Less Corruption
6)Export trade/business
7)Fishing and live stock
8) Construction sector/Thamani ya miradi Tanzania no zaidi ya mara 3 ya Kenya
9)Better public transportation (BRT)
10)Good stadium
11)Production of Cement
12)Electricity connectivity
13) Access to clean and safe water
14)Free cancer treatment
15)Blue Economy

Je, Kenya inaizidi Tanzania katika nini?
 
poleni lakini in conclusion tu:-
nyinyi waTz mulinivamia sana jana,... watu 100 kwa mtu1.! muliniaibisha sana mbele ya wakenya wenzangu.. sasa kina nairobiwalker, don yf, kanairo, teargas, simba254, komora96, kenpaulite, iamlee, mashashola, mutaitina, mwathadan, nicxie, Thebest007, tony254,.. unafikiri wataniona aje.? kama mume bwege ama mume hooi. hio ndio raha yenu sana.
but in the process of your argument, i learnt somethng thts very common with almost all of you tanzanians, that one should not take your critics seriously, its like your nature to inflict pain into ones life, you like picking on every minor, petty, negligible matters and magnify it as if a major thing!. one should not take your words personal, less you don't want to see the next decade due to pressure. nxt tyme i come into such a similar situation like yesterday, i prms not to use much energy to defend myself. i ll just ignore, as kenpaulite advised me. afterall u don't even know me in the first place. ama ata tutakutana wapi?. you don't even add an inch into my life afterall. so why stress myself
Huoni mi hta sisumbuani nao..
 
Mimi hakuna kitu mtz anaweza kuniambia,,,kama vile baba levo alisema itawachukua tz miaka kama 25 kutufikia kenya ....Yaani in todays world 2022 nchi nzima inaogopa
1. east african community
2. inaogopa masks
3. inaogopa vaccine
4. wanaogopa mikopo
5. wanaogopa kizungu
6. wanaogopa foreighners kufanya kazi kwao

Sasa watu kama hawa watasaidiwa aje...yaani mtanzania hujiona mwerevu sana mbele ya macho yake...kwa kuchukua tahadhari amabazo hazina maana yoyote, ni uoga wa kipuzi mno... what the learned call { the fear of the unknown}... na wakiendelea na mtindo huu hata uganda itawapita kwa uchumi na mambo mengine.
Tanzanians love status quo. Hawataki kufikiria..hawataki kujaribu..hawataki mashirikiano na nchi jirani..Yaani kila kitu kina hatari kwao.
Nchi yao iko na great potential but ni masikini ajabu..wana kila sababu ya kuwa east and central africa giants kama kenya ..but the only giant they have ni nchi kubwa na kuzaana kwa wingi..mengine hamna.
Nawahurumia sana hawa jamaa..kwanza nikiona wakisema ooh barakoa zina sumu hahaha mara chanjo zitatumaliza...hivi nyinyi wanatanzania where is your wisdom dear Tanzanians.
Dr. Robert Malone anayemiliki baadhi ya patents za mRNA technology siyo mtanzania.
 
Back
Top Bottom