Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
usipoteze mda,tafuta shughuli ya kufanyaHospital ni nyingi Kenya hadi shidaView attachment 2090785
usipoteze mda,tafuta shughuli ya kufanyaHospital ni nyingi Kenya hadi shidaView attachment 2090785
achana naye maana kila mtu akiamua kupost kama anavyopost yeye ,tutajaza server hapaMbalizi Council Hospital, SongweView attachment 2090820
Hiyo tumeiweka kiporo mkuu, kwanza tunawapiga na Muhimbili hii alafu wakiwa hawaamini tunakuja kuwaambia Mloganzila nayo ni Muhimbili na ipo Several kilometers ahead, hapo ndipo watakapochokaView attachment 2090548View attachment 2090549View attachment 2090550
Ukweli usemwe Umeme kwasasa Tanzani Tumerudi Nyuma Hatua Milioni kumi
ndani ya miezi hii 10 Tangu kifo cha JPM
Umeme Unakatika kwa siku hata mara20
Yaani ni hovyo hovyo sana Hali nimbaya mno
kunamuda unawaza Hii nchi inawatu wenye Kujari Maisha ya Wengine Hivi Nchi hii Miaka 60+
suala la Umeme Bado linakuwa Hisani ya Kiongozi au Viongozi fulani kuamua

ni kweli kbsa ila mhh ngoja ninyamaze.. if i speak, i will be in trouble
nangojea tu 2025 nione mambo yalivyo
Ukweli usemwe Umeme kwasasa Tanzani Tumerudi Nyuma Hatua Milioni kumi
ndani ya miezi hii 10 Tangu kifo cha JPM
Umeme Unakatika kwa siku hata mara20
Yaani ni hovyo hovyo sana Hali nimbaya mno
kunamuda unawaza Hii nchi inawatu wenye Kujari Maisha ya Wengine Hivi Nchi hii Miaka 60+
suala la Umeme Bado linakuwa Hisani ya Kiongozi au Viongozi fulani kuamua
ni kweli kbsa ila mhh ngoja ninyamaze.. if i speak, i will be in trouble
nangojea tu 2025 nione mambo yalivyo
Unazungumzia majengo,au huduma ww mama!kionjo tu za hospitali zetu coaches kwanza...
safari bado. eti jiwe la moto alidai eti tanganyika iko kipao mbele shinda kenya kwenye nyanja ya mahospitali.!? jambo ambalo niliipuuza kabisa!
View attachment 2090939
View attachment 2090940
View attachment 2090941
View attachment 2090945
View attachment 2090942
nakuru level 6 hospital👇🏽
View attachment 2090943
View attachment 2090944