Ntaghacha
JF-Expert Member
- Jul 28, 2020
- 1,412
- 4,122
Usiturudishe nyuma bro!
Usiturudishe nyuma bro!
kwa level ya muundo msingi tu, unaweza ukajijazia kiwango cha huduma iliopo ndaniUnazungumzia majengo,au huduma ww mama!
Ok,kabla ya hapo, wakenya wanaojaa huku JKCI wanafuata nn kama mna hospital nzuri?tunaanza na muundo msingi kwanza, tutarejelea huduma baadae
rongai iko county gani??🤣🤣🤣 ni kajiado kama sijakosea
siku mukipata BRT nitag mm wakwanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mjinga ni yule anayeacha kumsikiliza mtaalam aliyeshiriki katika ugunduzi wa mRNA technology na kusikiliza wanasiasa au waandishi wa habari. Wengi wao hata hawajui pipet au beaker inafananaje.Mbona iwe ni watanzania peke yake wana msikiliza....wakati nchi zingine wanaendelea na chanjo..mbona msimsikilize anayeunga chanjo mkono maana wapo wengi pia..nyie mko kwa hali ya kuchukua tahadhari foolishly kila mara
mtwara hospitalkionjo tu za hospitali zetu coaches kwanza...
safari bado. eti jiwe la moto alidai eti tanganyika iko kipao mbele shinda kenya kwenye nyanja ya mahospitali.!? jambo ambalo niliipuuza kabisa!
View attachment 2090939
View attachment 2090940
View attachment 2090941
View attachment 2090945
View attachment 2090942
nakuru level 6 hospital👇🏽
View attachment 2090943
View attachment 2090944
Kumbe wewe ulikuwa group 'B'.Sijui wewe ni wa mwaka gani ila mimi nilivaa label nyekundu enzi hizo
Nami namkumbuka mzee Kwayu na Mchwampaka (nilisikia alishafariki).Mm nilivaa ya blue, nadhani ww ulikuwa mbele yng kwa darasa moja enzi zile za Kwayu cjui tunaelewana![]()
Hivi akitokea mlevi mmoja wa chan'gaa huko si atalivaa gari la BRT hapo kituoni.
Waende tu
Ukajenge Zanzibari Kisha Usafirishe na Mitumbwi kwenda DRC au






Mchwa mpaka alikuwa miyeyusho sn yule mzeeKumbe wewe ulikuwa group 'B'.
Nami namkumbuka mzee Kwayu na Mchwampaka (nilisikia alishafariki).











Hii road kila picha iko empty alafu wanataka kushindana na Tz kwenye idadi ya magari








Kwamba wamerudia mchezo wa kumwaga maji, nadhani hata JNHPP ikiisha hakutakuwa na unafuu wowote cz watendaji ni simple tu wanamwaga maji kazi iendelee, hv mtu makini unawezaje kumweka mwizi sehemu nyeti vile au kuna siri hapa? Mana mambo yapo wazi wazi kabisa.
ni kweli kbsa ila mhh ngoja ninyamaze.. if i speak, i will be in trouble
nangojea tu 2025 nione mambo yalivyo