Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehehehee nimekudaka mzee, Teargas njoo mchukue mdogo wako View attachment 2088055View attachment 2088056

giphy.gif
 
Hii data ya statista pia nilipost hakuona? 😂 😂 😂 😂 😂
Kwani kwa hiyo statista.com haukuona Kenya., kwanza tumepimwa kwa 1000 metric tons.., 1 metric ton is 1000 liters so Tanzania in 2020 ni 3.6 Billion liters. Kenya ni 4.67 Billion liters., zaidi ya billioni moja! 😂 😂 😂
View attachment 2088212
2018 sisi tuko na 3.6b nyinyi 2020/2021 ndio unaleta hio data 🤣🤣🤣🤣

miaka mitatu mzee ni mingi sana 😂😂😂 hapo bado ile data yakupikwa haijapikwa vzr
 
Jiwe alikua mjinga, achana na wakenya. We are expressing what we saw.
Jiwe alikuwa MWAMBA wa miamba. Mjinga hawezi kuwafanya mfuke moshi kutoka matobo yote mwilini. Angekuwa mjinga mngempotezea.
The obsession that yall have with him is real and verrry alarming. Mnakuwa kama vile mna ugonjwa wa akili. Mkija Tz msisahau kupitia na Mirembe.
 
zikusanye kwanza zote ukiwa field, kuzipeleka bank sio issue, tutaenda tu baadae, hakuna mbio
@TheBest007. I was realy meaning the above 👆🏽statement.. ona, hii Cooperative bank ndio account ya rupurupu tu, alafu ya DTB bank account ndio ya salary. ndio nilikua namaanisha, DTB sikanyagi uko huu mwaka kwa imani ya bwana. wacha mshahara irundike uko hadi nipigiwe simu na bank manager. umesikia dogo. watch video, weka salio ya kutosha, sawa


20220119_231651.jpg
 
Back
Top Bottom