Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

@TheBest007. I was realy meaning the above 👆🏽statement.. ona, hii Cooperative bank ndio account ya rupurupu tu, alafu ya DTB bank account ndio ya salary. ndio nilikua namaanisha, DTB sikanyagi uko huu mwaka kwa imani ya bwana. wacha mshahara irundike uko hadi nipigiwe simu na bank manager. umesikia dogo. watch video, weka salio ya kutosha, sawa View attachment 2088561

View attachment 2088624
rupurupu so far ni ngapi....... ksh 491,201.....
(Pesa ngapi ya tanzania Tsh 10,315,221)
(in SI Unit Tsh 1.03×10⁷)
ni mingi ata kuliko hii picha ya hapo awali👇🏽
Screenshot_20220119-105735_Photos.jpg
 
Ndo nini sasa hawa polisi wa Dodoma? Kwa nini wanapoteza pesa ya mafuta kuwaongoza, badala yakuwapiga tochi na kuwapa faini kubwa ili wasirudie?

Labda kila DTO anaandaa wasimdikizaji hadi wavuke eneo lake na mwingine ana mpokea. Mfano Kimara hadi Kibaha, wa kibaha hadi mbele huko etc.
Ila kama wanawasindikiza toka Dom hadi Dar hilo wese la LC watakalopoteza ni utopolo.
 
Wakenya wanapenda sana show off, bahati mby Mungu aliwanyima
zile ni pesa taslim za kenpaulite, zangu ziko kwenye benki. tumekomaa zaidi kusema uongo.
👇🏽hii ilikua tu mfano, singesema hivyo kama sina hela. i knew what i was doing
Screenshot_20220119-105735_Photos.jpg
 
@TheBest007. I was realy meaning the above statement.. ona, hii Cooperative bank ndio account ya rupurupu tu, alafu ya DTB bank account ndio ya salary. ndio nilikua namaanisha, DTB sikanyagi uko huu mwaka kwa imani ya bwana. wacha mshahara irundike uko hadi nipigiwe simu na bank manager. umesikia dogo. watch video, weka salio ya kutosha, sawa View attachment 2088561

View attachment 2088624
We jamaa unachekesha, yn vocher imechoka kweli kweli cjui umeiokota wapi
 
My fellow countrymen.....don't be lured to expose your personal details over here.....the words of these haters will add or subtract nothing from your life
Personal details za nani, hizo alizoweka hazito mu affect yeye bali zitamu affect mwenye accnt.
 
Back
Top Bottom