Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_4331.jpg
 
Kwahiyo hawa jamaa kelele zote kumbe wanakuja kutibiwa bongo halaf wanaletaga eti battle ya hospitals

Tanzania has every potential opportunities to lead other countries in every sectors.. ni vile tu viongozi hawajajijua.. au wameanza kujijua saiz kidogo kidogo.. kwenye SGR na BRT naona kidogo wamejitambua (tunafanya vizur kuliko wengine)... bado nalia (mfano) na viwanja vya mpira .. tuna kila sababu (potentials) ya kujenga hata viwanja vitatu vya kisasa kama cha mkapa na tukawa tunahost mashindano kama AFCON au sijui CECAFA kutokana na uwepo wa viwanja vizur, pia bila shaka vitaboost league yetu ya ndan na wachezaji wetu na pia ni moja ya njia ya kuongeza utalii (sport tourism)
 
Back
Top Bottom