Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_4331.jpg
 
Kwahiyo hawa jamaa kelele zote kumbe wanakuja kutibiwa bongo [emoji23][emoji23][emoji23] halaf wanaletaga eti battle ya hospitals [emoji23][emoji23][emoji23]

Tanzania has every potential opportunities to lead other countries in every sectors.. ni vile tu viongozi hawajajijua.. au wameanza kujijua saiz kidogo kidogo.. kwenye SGR na BRT naona kidogo wamejitambua (tunafanya vizur kuliko wengine[emoji1319])... bado nalia (mfano) na viwanja vya mpira [emoji22].. tuna kila sababu (potentials) ya kujenga hata viwanja vitatu vya kisasa kama cha mkapa na tukawa tunahost mashindano kama AFCON au sijui CECAFA kutokana na uwepo wa viwanja vizur, pia bila shaka vitaboost league yetu ya ndan na wachezaji wetu na pia ni moja ya njia ya kuongeza utalii (sport tourism)
 
Double stack train inaweza kupita kwenye reli yetu kwasababu catenary height ni zaidi ya 8m (contact wire haifiki 8m).
huyo ni mshamba yaani hata hajui ni mita ngapi double stack inaweza kupita[emoji1787][emoji1787][emoji7]
 
Double stack train inaweza kupita kwenye reli yetu kwasababu catenary height ni zaidi ya 8m (contact wire haifiki 8m).
Mavi yamewabana na chaka wamekosa wameona wakanye kwenye kichaka kidooogoo kinachoitwa double stack japo wanaonekana lkn wanakunya hvyo hvyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom