ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
white elephant project 😂😂😂
mchina acheni aitwe mchina tu
white elephant project 😂😂😂
why too much filter and make up🤣🤣🤣
You can edit to suit your narrative,no problem brother.why too much filter and make up🤣🤣🤣
Danganyika mlijengewa bunge dodoma na wakenya na sasa ikulu mmecopy paste choo cha mjerumani kitu cha 1910Nenda kalilie twitter uwaambie GoK nayo ijenge white house kwa pesa za ndani iachene na choo cha mkoloni![]()

Isipokua mataga, wadanganyika wote hawaipendi hiyo ikulu ya dodoma. Wamecopy paste statehouse ya dar-is-a-slum ambayo ilijengwa 1910 na mjerumani. Magufuli hakua anapenda kufikiria.not appealing
Asubuhi nilikuwa najibizana na watu wanaokandia route ya Uvinza-Msongati-Gitega kwa maana hawajui nn kimelala chini ya ardhi ukizingatia refineries za nickel na cobalt zaja na Burundi washasaini mikataba ya mashirikiano katika uchimbaji na uchenjuaji! Huu ukanda mpaka DRC ni madini tuu..! Rwanda ikiwa tayari itakuja ijenge reli yake kwenda Isaka!Pia Musongati kuna shehena ya cobalt na nickel tons million 5 zitakazochimbwa kwa miaka 50 kwahiyo reli to Burundi tu inaweza Lipa gharama zote za SGR yetu yote, bila shaka na umeme wa kuendeshea SGR Burundi utatoka Tanzania sababu 400kv line inaelekea Kigoma na Uvinza
barabara ambayo mchina anaijenga na ataimiliki kwa miaka 30 hakuna mkenya atapita hapo bila malipo kwenda kwa mchina tena kwenye nchi yao hahaha😂😂😂😂
Hehe........dodoma the overrated town/villageIsipokua mataga, wadanganyika wote hawaipendi hiyo ikulu ya dodoma. Wamecopy paste statehouse ya dar-is-a-slum ambayo ilijengwa 1910 na mjerumani. Magufuli hakua anapenda kufikiria. View attachment 2085307
dawa ya ujeuri ni kiburi 😂😂😂
Every sane person in the world knows that.....
Haya sasa semeni tena.
Usisahau kupitia replies za kwenye hii tweet.





Na chawa Wa Diamond.Huko tanganyika topic ya trade mlisoma shuleni kweli ............Soko ya Kenya inawalisha na kuwapa hela nzuri......so it's a win winHaya sasa semeni tena.
Usisahau kupitia replies za kwenye hii tweet.
Hapa tunapata Picha kamili sio kama wale wanasikiliza Piere LiquiddddddNa chawa Wa Diamond.