joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
nipe hiyo link tafadhal, sababu hio sijaai skia. othrws it's always vice versa, pamoja na waganda. eg. nenda moi referral eldoret uone ni waganda wangapi wako ukoMasoko yote tumeshawafurusha, tutawafurusha South Sudan pia in shortest time possible.
By the way, Hospitali zetu zimejaa wakenya, tafadhali tunawaomba boresheni huduma katika Hospitali zenu
Martin Tairo amesema kweli Tupu
Uchumi mkubwa lakini hamuwezi boresha Hospitali zenu matokeo yake Wakenya wanajaza vitanda vya Hospitali zetu
Kilaza kabisa wew jamaaa 😂😂 Unaskitisha sana .. data kutoka serikalini unazipinga.? Kuna mtu naijua Tanzania kuliko serikali ya Tanzania.? acha ufala wewe, hiy world bank yenyewe ni mpaka ipewe taarifa na serikali ndio na wao watoe tathmini zao.. kumbe we jamaa ni mtu Alaf akili za mdogo angu 😂😂😂Yaa
Yaani wewe unachukua a CCM's politician word unatumia kama fact! hii kama sio ujinga utasema ni nini dogo? 😂 😂 😂 😂 😂 jaribu kudhibitisha maneno ya wanasiasa with facts, usikimbie nazo 😂 😂 😂 ., Now get the statistics across Africa, number of cars to people ratio, that's how it is measured dogo, infact find out the ranking of countries by number of cars to people ratio in Africa, na ujue pia hio sio kipimo cha utajiri necessarily, it is relative though, kwa vile ninapo jua mimi hapa Africa, Liberia ndio inaongoza kwa idadi ya magari to people ratio, yaani kati ya watu 3 or 4 kuna gari in Liberia licha ya uchochole wao.., sasa chunguza na Tanzania kwa hiyo population yenu kubwa, ambapo World Bank imedhihirisha wengi ni fukara wa kutupwa, gari moja linapatikana baada ya watu wangapi..,. chunguza Africa yoote, muache kukurupuka with your blind patriotism na reasoning uchwara...,
😂😂😂 Sio kama zitakua zimeongezeka nyingi zaidi, jamaa mko na chuki za kipumbavu nyie 😂😂 basi tena .. alafu kutoka 2012 hadi 2022 ni tofauti ya miaka kumi sio nane .. yani hivi 2022-2012=10 .. mpo nyuma yetu kwenye suala la magari tangu miaka kumi iliyopita. Ambapo gap hiyo mtaifikia ifikapo 2030 estimation says 👇Hizo Gari za 2012 by now labda hata zote zimezeeka ama kupata ajali au kupitisha miaka ya kutumika Barabara I which is usually 8years hivo atoe data nzuri awache Kua duanzi
Hahahaha, you can run but never hidea one in a million case, kenya we never refer to tz in most of the cases incld medical, education etc
😂😂😂 Kwahyo kumbe kelele zao zote, watu wao wanatibiwa tz 😂😂.. Don YF unlipi la kusema baba.? Watu wa county nzima wanategemea KCMC kupata matibabu 😂😂😂
Hahahaha, you can run but never hide
Kuanzia Sasa hakuna sababu ya wakenya kwenda India, karibuni Sana Tanzania kwa huduma Bora za matibabu, "we are the best in Africa"madaktari walio somea shahada ya Bachelor of Medicine (MBChB) kwa lugha ya kiswahili aisee. malimwengu hayo!



inaskitisha sana aloo😫😫 sijui walirogwa na nani hawa watu
madaktari walio somea shahada ya Bachelor of Medicine (MBChB) kwa lugha ya kiswahili aisee. malimwengu hayo!. yani 'Bachela la Dawa'




There's no correspondence of word to word translation.. aina ya uundaji wa maneno iliyotumika hapo kutoka "bachelor"- bachela, inaitwa kutohoa/kukopa (in English borrowing) .. halafu neno "bachelor" kwa kiswahili fasaha ni shahada .. yani hivi 👇madaktari walio somea shahada ya Bachelor of Medicine (MBChB) kwa lugha ya kiswahili aisee. malimwengu hayo!. yani 'Bachela la Dawa'
Yapi yuko slow but very sure!!!Naamini hii reli itaendelea kumuuza sana kwa nini asifikiri kujiestablish Tanzania?!,akiendelea ku-speculate na kupigania biashara kuelekea Congo na upande wa southern!!! future iko very promising!!!Huko kuna Tani na Tani za madini pia tunaelekea kwny large scale farming,umwagiliaji na viwanda vidogo vidogo!!!! Africa ndio bara linalokuja kushine!!!, Na Tanzania ni nchi iliyo na kila sababu kuanzia position yake geographically, politically na economically ikismama hata peke yake still bado kuna viability.Itawachukua Kenya karne mbili zijazo kufika hapa, the biggest marshaling yard in Africa![]()
View attachment 2085180![]()
Uchumi mkubwa lakini hamuwezi boresha Hospitali zenu matokeo yake Wakenya wanajaza vitanda vya Hospitali zetu
Hivi ni kweli Prof alihusika?We are the best in Africa, any question?
Teyari ameshapata tenda Zimbabwe kuboresha reli yao ya zamani.Yapi yuko slow but very sure!!!Naamini hii reli itaendelea kumuuza sana kwa nini asifikiri kujiestablish Tanzania?!,akiendelea ku-speculate na kupigania biashara kuelekea Congo na upande wa southern!!! future iko very promising!!!Huko kuna Tani na Tani za madini pia tunaelekea kwny large scale farming,umwagiliaji na viwanda vidogo vidogo!!!! Africa ndio bara linalokuja kushine!!!, Na Tanzania ni nchi iliyo na kila sababu kuanzia position yake geographically, politically na economically ikismama hata peke yake still bado kuna viability.