Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Ugliest statehouse built in the 21st century 





😂😂😂 Acha kuwa pimbi wewe ni mtu mzima, Tanzania pia kila mkoa uko na ikulu.. Ila kuna DODOMA Tz's administrative capital, tunajenga ikulu kubwa kama ile ikulu yetu ya DSM .. hii sio kawaida mzee hata siku moja.. kitu kibaya zaidi ni kwamba ikulu zote hizi mbili ni kubwa kuliko kile kibanda chenu eti nacho ni state House 😂😂😂Ujinga Gani Huu Sisi Kuna ikulu ya rais in every major county Na zote kubwa Ni huruma tu tukiona mnashangilia ikulu
You eat off our money (natural attractions like Mt. Kilimanjar
Really?does that even make any logical sense.You eat off our money (natural attractions like Mt. Kilimanjaro).
Yeah.
Ichogal weka evidence wacha umbeasasa mbona unatapika ovyo tu
Hii unataka ulinganishe na kile kibanda chenu mnaita state House.? 😂😂😂
sasa hapa umeandika kiushabiki tu, mr google , kujitekenya, Tz am sure Uganda can even challenge you, wacha uongo zako😂 😂 😂 😂 😂 😂wanmagari yako wapi bro au ww kuna maeneo tanzania hii hujafika 😆😆 mm kenya naijua na tanzania naijua na bahat nzuri nimezunguka sana kenya sijui kama tunaeza bishana kwa hilo
na kenya sehemu yenye population ya magari sana ni nairobi
mombasa yapo ila sio sana wao huko tuktuk ndio zimejazana
ukienda kisumu baiskeli ndio taxi zao
🤣🤣🤣🤣 uliza ujue bro
Kenya umezungyka umezungyka wapi nikuulize swali? Najua hakuna Kenya umezunguka Ni utani tuwanmagari yako wapi bro au ww kuna maeneo tanzania hii hujafika 😆😆 mm kenya naijua na tanzania naijua na bahat nzuri nimezunguka sana kenya sijui kama tunaeza bishana kwa hilo
na kenya sehemu yenye population ya magari sana ni nairobi
mombasa yapo ila sio sana wao huko tuktuk ndio zimejazana
ukienda kisumu baiskeli ndio taxi zao
🤣🤣🤣🤣 uliza ujue bro
Rwanda ajiunge via Gitega tu..hadi Keza..kama watashilikiana na burundi..cause iska to kigali will be so costfulZikikamilika Tanzania kutakua na railway network kubwa sana . Lakini ni gharama sana ndio maana Rwanda kila wakisema wajiunga wana wanasuasua
Wewe Ni kijana was Kijiji huwezi jua Haya maneno.... Kwanza wewe nikikulize unaendesha Gari Aina Gani?kwenye magari mengi hapana hapa nakukatalia, tanzania kuna magari mengi sana tena sana
Wewe mwenyewe unaishi wapi??? Wacha kuongelelea watu mwanzo Anza Na wewe then the rest follow thats will be a nice trendKama una ubavu leta gari celebrities wenu wanaendesha na Tanzania ilete wake, celebrities wenu tu kwanza 80% wanaishi kwenye slums
Huyo muongo, alikua anadanganya vile anaijua Mombasa, kumbe mwehu kuruka., see the way ame reason about Mombasa na Kisumu, mere guesswork.., anatamani fikra zake zikue ukweli, ukiweka facts atapingana hapa utashangaa, he's among the idiots in this forum, though I like his fighting spirit, ata ukimuonyesha damu ni nyekundu na yeye hakubaliani na wewe it will be an effort in futility to argue with him, a blind patriot, ana wivu mingi sana 😂 😂 😂 😂 😂Kenya umezungyka umezungyka wapi nikuulize swali? Najua hakuna Kenya umezunguka Ni utani tu
Sasa state house ikiwa kubwa inaongeaa aje raslimali hehe upuzi ulio Tanzania huwezi kuumaliza😂😂😂 Acha kuwa pimbi wewe ni mtu mzima, Tanzania pia kila mkoa uko na ikulu.. Ila kuna DODOMA Tz's administrative capital, tunajenga ikulu kubwa kama ile ikulu yetu ya DSM .. hii sio kawaida mzee hata siku moja.. kitu kibaya zaidi ni kwamba ikulu zote hizi mbili ni kubwa kuliko kile kibanda chenu eti nacho ni state House 😂😂😂
Vitu vingine si lazima vya kubishana ... Si lazima mubishe Kila kitu blindly Google any statistics online starting from registration of vehicles to import statistics they all show Kenya imports more vehicles this a childish argument that doesn't add value to a country but just had to post muwache kelele mingi huku NDINDA just do some slight quality research utaonaWenae, sasa kama Dar imeizidi Nairobi kwa magari, na nairobi ndio mji mkubwa Kenya na ndio wenye population kubwa unategemea mji gani Mwingine ukizingatia Kenya ni Nairobi tu? Unataka kusema counties nyingine za jangwani ndio zinazidi mikoa mingine ya Tanzania?
Unataka upewe uthibitisho upi mzee.? Estimation zinasema NAIROBI by 2030 itakua na magari 1.35 millionsasa hapa umeandika kiushabiki tu, mr google , kujitekenya, Tz am sure Uganda can even challenge you, wacha uongo zako😂 😂 😂 😂 😂 😂
Hadhi baba kama ulikua hujui..Sasa state house ikiwa kubwa inaongeaa aje raslimali hehe upuzi ulio Tanzania huwezi kuumaliza
uwekewe evidence mara ngapi rudi page ya nyuma hapo juu 😂😂😂Ichogal weka evidence wacha umbea
🤣🤣😂😂 ushabiki upi au ww utanidanganya nn mm ?? kipi ww utanidanganyasasa hapa umeandika kiushabiki tu, mr google , kujitekenya, Tz am sure Uganda can even challenge you, wacha uongo zako😂 😂 😂 😂 😂 😂
mm mombasa nimefika, mpaka nairobi kisumu mpaka migori isbania nimefika sehemu sijafika ni lamu na turkana huko ile kwengine huko ww utanidanganya nn nimefika mpaka malindi 🤣🤣🤣Kenya umezungyka umezungyka wapi nikuulize swali? Najua hakuna Kenya umezunguka Ni utani tu