Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa Kenya mpaka uwe na 20 million ndio umiliki gari wakati Tanzania million 3 tu una uhakika wa kupata gari, wapi watakuwa na gari nyingi?

Case ya supercars ni tofauti na unachojaribu kuelezea sababu mwenye uwezo wa kununua Ferrari, ushuru sio issue kwake.

Kenya wengi masikini hamna uwezo wa kushindana na Tanzania lakini hamsikii

Wizdon anajiwe refu...
Anyway wakenya wanamagari mengi kutuzidi,sijui kama ulitafiti vyema
 
Punguza ushamba, gari la mtoto wa bakhresa hilo halafu ni kweli magari 99% ya kifahari Kenya hawamiliki wakenya ni watu wa SS mostly watoto wa wanasiasa, na huo ushamba wa ukisajili gari Tanzania you escape taxes ni ulimbukeni sababu tofauti ni ndogo sana ya kodi kati ya nchi zetu na ukipeleka Kenya kuna muda utafika kibali cha kukaa Kenya kitaisha then it will be regarded as a freshly imported car na kodi zitakua zile zile, sasa kipi umekwepa?

Kingine huwezi kuja kusajili gari la gharama kiasi hicho Tanzania kisa kukwepa kodi kisha uweke customized number plate za gharama kiasi hicho ambazo utalipa 10 million each year, tatizo lenu Wakunya ni ushamba na umasikini, hamna exposure kabisa soo primitives.
Wana mentality ya "Vyote vizuri na vya gharama ni vyao"

Nimeona hadi kule twitter wanajidanganya huo upumbav aliouandika hapo.
 
Hilo najua kuna madini, hoja yangu ni je mji mkuu wa Burundi ni upi au kuna makosa ya uandishi yamefanyika?
hapana na sijaona makosa nafkiri wataonganisha mpaka bujumbura kwa baadae baada ya kufik hapo kwasababu gitega na bujumbura sio mbali sana
 
hapana na sijaona makosa nafkiri wataonganisha mpaka bujumbura kwa baadae baada ya kufik hapo kwasababu gitega na bujumbura sio mbali sana
Ukiacha kufikiria sgr ndio utanielewa, ukiendelea kufikiria sgr hautanielewa.
Sasa achana na sgr twende kwenye jiografia, mji mkuu wa Burundi ni upi?
 
Back
Top Bottom