Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Apo najua utabisha lakini ukitoka dar uko mikoani hali sio nzuri kabisa...wakenya wanamagari kutuzidi amini ivyo
Wenae, sasa kama Dar imeizidi Nairobi kwa magari, na nairobi ndio mji mkubwa Kenya na ndio wenye population kubwa unategemea mji gani Mwingine ukizingatia Kenya ni Nairobi tu? Unataka kusema counties nyingine za jangwani ndio zinazidi mikoa mingine ya Tanzania?
 
Apo najua utabisha lakini ukitoka dar uko mikoani hali sio nzuri kabisa...wakenya wanamagari kutuzidi amini ivyo
wanmagari yako wapi bro au ww kuna maeneo tanzania hii hujafika 😆😆 mm kenya naijua na tanzania naijua na bahat nzuri nimezunguka sana kenya sijui kama tunaeza bishana kwa hilo

na kenya sehemu yenye population ya magari sana ni nairobi
mombasa yapo ila sio sana wao huko tuktuk ndio zimejazana
ukienda kisumu baiskeli ndio taxi zao

🤣🤣🤣🤣 uliza ujue bro
 
Too much for the 'modern electric esigiara'
FB_IMG_16424150952828588.jpg
 
Wenae, sasa kama Dar imeizidi Nairobi kwa magari, na nairobi ndio mji mkubwa Kenya na ndio wenye population kubwa unategemea mji gani Mwingine ukizingatia Kenya ni Nairobi tu? Unataka kusema counties nyingine za jangwani ndio zinazidi mikoa mingine ya Tanzania?
Dar haiwez zaidi nbo kwa magari sasa kila kitu unabisha tu ili iwe battle au
 
Wenae, sasa kama Dar imeizidi Nairobi kwa magari, na nairobi ndio mji mkubwa Kenya na ndio wenye population kubwa unategemea mji gani Mwingine ukizingatia Kenya ni Nairobi tu? Unataka kusema counties nyingine za jangwani ndio zinazidi mikoa mingine ya Tanzania?
usimlaumu huenda bado kenya hajaijua vzr sana bro 😀😀😀 hio mwanza yenyewe sasa hvi kuna foleni balaa nilikua huko two weeks ago alaf pia angalia tanzania ni kubwa mara mbili ya kenya
 
usimlaumu huenda bado kenya hajaijua vzr sana bro 😀😀😀 hio mwanza yenyewe sasa hvi kuna foleni balaa nilikua huko two weeks ago alaf pia angalia tanzania ni kubwa mara mbili ya kenya
😅😅😅😅 Malori tu yanayozomba mzigo kwenye bandari zetu na mabasi ya mikoani ni kama jumla ya magari ya counties 8 za kenya, huyu jamaa yenu vipi 😂😂😂😂

Gari za migodini anazijua?
 
😅😅😅😅 Malori tu yanayozomba mzigo kwenye bandari zetu na mabasi ya mikoani ni kama jumla ya magari ya counties 8 za kenya, huyu jamaa yenu vipi 😂😂😂😂

Gari za migodini anazijua?
nenda nae taratibu tu bro ataelewa tu 😅😅
 
Sasa Kenya mpaka uwe na 20 million ndio umiliki gari wakati Tanzania million 3 tu una uhakika wa kupata gari, wapi watakuwa na gari nyingi?

Case ya supercars ni tofauti na unachojaribu kuelezea sababu mwenye uwezo wa kununua Ferrari, ushuru sio issue kwake.

Kenya wengi masikini hamna uwezo wa kushindana na Tanzania lakini hamsikii

Still kenya tuna magari mengi kushinda tz even though its expensive to buy, thats my point, kama unapinga angalia facts
 
Back
Top Bottom